Taasisi kama hiyo ipo ni Tanganyika Medical Council, na mahakama zipo vilevile - hivyo ni changamoto kwa wanaoona wamefanyiwa kinyume na haki zao kwenda huko kudai haki itendeke.
issues kama hizi zina sababu kibao.
Upande mmoja ni wahudumu wa afya kama alivyosema mdau; wahudumu hawaongei vizuri na wagonjwa na ndugu zao either kuwapa education ama counseling, na kuwaambia nini kinafanyika na kwa nini.
Upande mwingine ni wagonjwa na ndugu zao; wako ignorant (inarudi kwa...
Wengine. Eee wengine huniambia aaa nawashwa nawashwa kwenye futii II
Pressure pressure huwa sawia aaa
Na malipo bei POWa aaaa
USAnii tu kote kote - kwa babu, institute of traditional medicine muhimbili, NIMR, wizara ya afya, kifupi ni Tanzania!!!
Mzee Yusuf akuambia nakula maisha silali...
I see, kwa urefu wako na umri uzito wako ni mzuri kabisa- ni kitaalam kuongezeka uzito itakusababisha uwe overweight na overweight ina uhusiano na matatizo Kibao Kama kisukari, magonjwa ya Moyo na cancer.
BMI yako, Indicator ya weight for height ni 23.4 na normal ni 18-25!
Hao...
Matatizo ya ini yako ya aina mbalimbali na ushauri wa lishe inategemeana na ugonjwa alionao, stage Yake nk; ni bora kupata ushauri kwa daktari anayemtibu.
Sioni tatizo la kitaalam linaloweza kusababisha Hali hiyo.
Kwanza ana uhAkika Sababu ni hiyo?
Kwa haraka mshauri ajaribu Mitindo mingine ya kutiana - kwa mfano Kama anahisi Sababu ni kugusana ngozi kwa ngozi; mwambie apunguze contacts wakati wa mapenzi- doggystyle AMA styles zingine ambazo...
Mie kabla ya kukushauri ningependa kujuA baadhi ya vitu ili nifanye evaluation ya kitaalam- kusema size 8 tu haitoshi.
Nahitaji kujua umri, urefu na uzito wako kwa sasa.
Nenda hospital kwa Sababu viuvimbe Kama hivyo pembeni maw anus vipo vya aina nyingi, vingine vyapona kwa dawa, vingine kwa operation; utapata ushauri kikishaonwa na daktari
Yeah, Mpeleke kwa daktari.
Nawe mchangiaji unayesema it is impossible kupata mtoto mwenye matege ukifuata ushauri wa daktari umetoa wapi hiyo? Acha uzushi wako.
Mpaka nchi zilizoendelea hili laweza kutokea - kuna causes nyingi za matege ambazo huwezi kusema zimetokana na uzembe wa mzazi...
Mie Kama mwanasayansi. "tiba" ya babu Kama mnavyoiita ni uzushi mtupu. Hakuna hata mtu mmoja aliyekuwa Anaumwa kweli amepona. Namsupport aliyeanzisha thread, Kama kweli unaumwa na umeacha dawa utakuja kujuta!
Nyie mnaokuja na hoja zenu za Imani Mna matatizo ya kisaikolojia Kama babu yenu wa...
Swali Lako liko tata kidogo; wataka kujua Kama ni mrefu AMA mfupi kwa wakati huu akiwa na miezi mitatu AMA Kama atakuwa mrefu AMA mfupi hapo baadaye akiwa mtu mzima?
Kama ni kwa wakati huu; tumia chart za ukuaji wa watoto, chart hizi zinapatikana kwenye card za watoto za clinic ambazo...
interesting,
mi nawafagilia akina galo!
kuhusu koch's postulates jamaa anasema hiv imefail ku-induce aids in chimpanzees; mzima kweli huyo?! champanzees are not human, hiv ni human immunodeficiency virus!!
mechanisms of prostate cancer in mice might be different from those in human; results need to be confirmed in men.
walnuts contain omega-3 fatty acids and a trace mineral, selenium - though omega-3 fatty acids may be useful in breast cancer and heart disease they have not been proven to be...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.