Kwakweli timu ya kampeni inayoongozana na Magufuli haina weledi wa kutosha wa kichama. Polepole na Bashiru hawana makuzi kupitia CCM. Kwenye kampeni hii, unamwachaje Nape, Mwigulu, Lusinde, Bulembo, Mwanri n.k
CCM haikosi usingizi kwa harakati za ACT na CHADEMA, ila nadhani itatikisika kwa hoja zao zaidi zinazolenga kuonesha na kutatua shida za wananchi. CCM ijiandae kupoteza kura kwa makundi yafuatayo km haitakua na majibu.
(1) Kundi la watumishi wa umma; kundi hili lina hasira ya kutoongezewa...
Unashindwaje kujua vitu vidogo hivi. Kuwa mbunge ktk jimbo lolote Tanzania bara lazima uwe na sifa moja muhimu miongoni mwa sifa zilizoanishwa ktk sheria na kanuni za uchaguzi; sifa yenyewe ni lazima uwe mtanzania. Sasa kila Mzanzibari ni Mtanzania, hivyo, mzanzibari anaweza kugombea popote...
Umeshindwa unasingizia rushwa. Ni jukumu la wapiga kura kukataa rushwa. Unaweza pewa rushwa na usimpigie aliyekupa, ndio maana wengi wazito wamegaragazwa. Na kama alitoa rushwa ungemripoti TAKUKURU.
NImeona Rais jinsi anavyoona mambo kwa haraka sana. Amebadili namna ya kuteua wakurugenzi, sasa anateua wakurugenzi kwa kufuata utaratibu bora kabisa. Anateua watu wenye kuijua local government na wenye sifa za kiutumishi kushika nafasi hizo. Pia nimeliona hilo kwenye u DC. Cheo cha u DC ni cha...
Dr. Bashiru hajasema CCM inatumia dola kushinda uchaguzi bali inatumia dola kushika dola. Sasa hapo kila mtu atakua na uchambuzi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutumia dola kushika dola ni tofauti na kutimia dola kushinda uchaguzi. Chama chochote duniani chenye kushika dola huwa kina advantage ya kutumia dola kutengeneza sera na sheria zinazoweza kuwavutia wapiga kura, mfano wa vitambulisho vya wamachinga kwa Tanzania, kuongeza kodi kwa bidhaa za China...
Jeshini hilo ni jambo la kawaida. Unaweza kupewa adhabu hata mbele ya mkeo. So far, hizo ni adhabu za ukakamavu wa kijeshi na wala sio kupigwa viboko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengine ni mpango wa Mungu. Unaweza kuwa mtumishi wa umma na una sifa zote na za ziada lkn teuzi zikipita wala hata kufikiriwa hufikiriwi. Hivyo, kuna bahati mtu kaandikiwa na Mungu.
Anazungumzia msimamizi mkuu kwa niaba ya tume, huwezi kumfanya mtu huyu wa muda. Na mahakama imetaka maded waondolewe na haikuzungumzia wasimamizi wasaidizi. Swala hapa Tume iajiri wasimamizi wa kudumu badala ya MaDED kwa kuepuka wateule wa Rais, viongozi wa vyama kwenye ngazi zote. Na njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.