mm huwa napenda watz tuelewe hivi huyo slaa kaja juzi tu cdm ana uzalendo kuliko mbowe, hivi mnajua kama Mbowe ndo mbunge pekee asiyepokea posho ya vikao na gari la serikali na hii ni kwa maslah ya wote, hii tz siyo ya ccm au cdm fungukeni hao wachaga siku wakichukua nchi nasepa zangu mbele, coz...
nyi mnayenu mmngeenda jukwaa la mapenz mkachambane kuku nyinyi kuwataja taja akina daimond ndo mnaona dili i think mtakuwa mlikosa kazi ya kufanya xo mkaamua kuwest ur time pande hiz bt dis is nt bongomovie meeting xo take care guys, insearch bado mnajichanganya wenyewe mnamwonesha nani uhun...
m nilikuwa zangu kjjn nilikuwa nabeba ugal kwenye mfuko na shule ilikuwa mbali sawa na kutoka gongolamboto mpaka tazara unaenda kwa mguu na hiyo ndo shule ya karibu, nakumbuka unaamka alfajir ni ful umande yaaaan we acha tu....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.