Tunabwata weee mchana kutwa, usiku ukifika twaingia vyumbani mwetu hadi kunakucha, salaama na amani. Hamshukuru nyie!!!! 'something is done'. asubuhi kelele tena, JK hivi Ben vile, EPA, BUZWAGI kadha wa kadha. TUFANYE KAZI KWA BIDII...Hakimu, polisi, magereza, mwanahabari, raisi tena wote hata...
Huu ni ulevi na kuchanganyikiwa kupita kiasi kwa Israel, wamepagawa, wametahayuri, hawamwamini mtu yeyote sasa, kichaa kapewa rungu, tufanyeje?
Naungana na wale wenye kuwaombea salama watoto, wanawake na wazee wasio na ulinzi hawa, mungu awape subira na uvumilivu wa hali ya juu mpaka nusura...
Siamini kwamba hatua hii ni ya dharura ili kuzuia mafisadi kukimbia, lakini mambo ya muhimu kuzingatia ili tupate maendeleo katika karne hii tuliyonayo tunahitaji; WATU-kama tulivyokuwa tukikariri mashuleni zamani na hata sasa bado ni hivyohivyo na ndiyo ukweli wenyewe (nawashangaa wanoua watu...
Kila autakae ukubwa basi na amrudie muumba wake, maana ukubwa wote upo kwake. Tukipigiana kelele na kutanua misuli tutaumizana bure. wana JF tukemee haya kwa nguvu zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.