Wapinzani hutusaidia ktk kueleza ufsadi unao tokea nchin na kusababisha baadhi yao kuachia ngazi ya uwaziri. Basi tusaidien kupinga ufsadi huu wa wabunge.tofauti na hapo tutajua kuwa ufsadi unao wanemesha nyie huwa hamsemi. nawasilisha
mimi si mtangaza nia ila napenda mabadiliko ili kuweza kushinda hawa ccm, maana ukawa wakijichanganya jimbo linaenda kwa ccm. jimbo hili sisi ndo tunalijua
WanaCHADEMA wa Kibondo-Kigoma wamepinga maamuzi ya UKAWA ya kuwa jimbo hilo limewekwa kwa NCCR-Mageuzi wakati Felix Mkosamali (MP) hakubaliki hata kidogo.
Katika serikali za mitaa CHADEMA ndio ilishinda kwa kishindo kupita NCCR-Mageuzi. Sasa UKAWA wametumia kigezo gani kuwapa NCCR-Mageuzi...
Tofauti kati ya kura ya UAMUZI na kura ya MAONI. uamuz ni final say hata kama wengi watakataa wakati maon ni mapendekezo apendayo mtu kuyatoa ambayo yaweza kukubaliwa au kukatalhwa.hivo ni kura ya maon na si ya uamuz
Salaam,
Ili mambo yaende vema, ningependekeza mambo yafuatayo kwa UKAWA;
1. Kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa TZ, mgombea urais atoke CHADEMA na mwenza wake atoke CUF.
2. Kwa upande wa Zanzibari, mgombea urais atoke CUF mwenza wake atoke CHADEMA.
3. Katika kampeni, waende as a team ...
Baada ya ZZK kufukuzwa cdm na kwenda ACT, Leo kakonko watakuwa na mkutano mkubwa wa cdm ambapo watazungumzia yafuatayo; 1;kushukuru wapiga kuwa kwa kuwapatia viti 25 vya cmd kati ya 39 ktk serikal za mitaa. 2. kushukuru uongoz wa chama ngaz ya taifa kutekereza mawazo ya nguvu ya uma kwa...
Kipindi mdahalo ukikaribia kuisha jana walisema kuwa watatoa tamko kesho j.tatu ambalo litakuwa ni kuwaburuza mahakamani hao wanao endelea na mchakato wa katiba bungeni bila kuwepo kwa ukawa.hivo naamini BMK halitaendelea bila ukawa. mi ndo niliwaelewa hivo
Sisi WAHA tunajua tunacho kifanya, ZZK alichofanya na CDM inachofanya.tunatambua kuwa ACT ni zzk party na kwa waha huwa hatuungi mkono msalt na kama unabishi subilia mwakan although kwenye mikutano yake anapata watu wa kumsikiliza na jua si- kila aendae kusikiza ACT eti unakiunga mkono. wapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.