Umemuelewa vizuri sana mkuu. Jamaa kaongea jambo la msingi sana. Mwanamke ni kuonyesha moyo wa kujitoa, shida wengi gender roles ndio wanatafsiri kama kujitoa.
Mkuu kwa jinsi ulivyojieleza hapa nimepata picha wewe ndio unashida kidogo, umeshindwa kuprove enough kwake kama mwanaume anayeweza kuwa mume bora kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.