From: Awale, Bashir B
Sent: Tuesday, February 08, 2011 8:26 AM
To: Tanzania EXCO Members
Subject: Dowans/Stanbic/Meremeta/Group5/Tanesco
If any reporter or external person calls with respect to the above, please refer them to Abdallah or I. Please advise your teams all the way down.
AS, our...
Wana jamvi, nimependa kuuliza daftari la mpiga kura linarekebishwa lini ili nipate kadi ya mpiga kura kwa ajili ya kuwakaanga CCM na nguo zao za kijani kama mchicha.najua Nape na Mwigulu mpo hapa lkn napenda kujua hiyo haki yangu kikatiba ntaipata wapi kwa kuwa kadi yangu ya kwanza...
Haya niyangu kutoka kumtima wange, Wazanzibari kwa dharau wanatuita wa bara au Tanzania bara. hawa watu tunawapa umeme buree, tunabembeleza muungano kwa gharama nyingi sana, wazanzibar wana serikari yao ya mapinduzi, inayotunga sheria zao, budget yao, na mambo lukuki kwa faida yao, afu wanataka...
Wana jamvi, nimevutiwa na aliyekuwa mh.waziri wa mambo ya ndani ya nchi, bwana Lawrence Masha ktk kipindi cha mkasi kilichorushwa jana na EATV. Pamoja na mambo mengine bwana Lawrence Masha alisema ametembea nchi nyingi sana, na bila kumunyamunya maneno alisema watanzania ni "waongo sana" kuliko...
wana jamvi, week hii nimeona kupitia itv kwamba machifu wameandaa mkutano uliowakutanisha wao na serikali.ambapo ktk mambo mengine wakiwa wamevalia kiasili zaidi, shanga, manyoya, mikia ya wanyama, na makolokolo kibao waliongelea swala la wao kuisaidia serikali kuiongoza nchi.kwa fikra zangu...
Wanajamvi bila shaka mmeshasikia shirika liitwalo "Popular culture and sports programme", PCSP. Viongozi wake wanasema ndani ya mradi huu wa PCSP kunashirika lililoanzishwa linaitwa "International Project of HIV AND AIDS",
Tangu viongozi wake waseme kuwa mradi mpya unaanza ndani ya PCSP mpaka...
Wapendwa wana JF, swala hili linanikera sana limo ktk orodha ya kero zangu nyingi ktk selikari hii. Nimemtembelea ndugu yangu akiwa hapa Mwanza nanina post thread hii nikiwa jijini Mwanza. katika pitapita yangu, kwakweli nasikitika kuona viwanda vimo na vingine vinaendelea kujengwa katika makazi...
Wapendwa wana JF, swala hili linanikera sana limo ktk orodha ya kero zangu nyingi ktk selikari hii. Nimemtembelea ndugu yangu akiwa hapa Mwanza nanina post thread hii nikiwa jijini Mwanza. katika pitapita yangu, kwakweli nasikitika kuona viwanda vimo na vingine vinaendelea kujengwa katika makazi...
Ndugu zangu wa tz hili swala linanikereketa sana moyoni, nahitaji msaada wenu wa mawazo. gharama za kuonana na madaktari au Waganga mahosipitalini zipo juu sana, ktk kila hospitali, haijalishi niya serikari au private.nimehudhuria hospitali nyingi lakini sioni unafuu wa hospitali moja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.