huyu hajafukuzwa kwa kosa la NIPA kilichomuondoa ni kukutwa na mwanafunzi wa kidato cha tatu akiwa uchi kwenye gari , wabongo huwa hatusomi contents tunakuja na mihemko tu
Naona Uzi wako umekaa kimbea mind ur business hao wateja unaoita wengi wamezaliwa nao wala sio ajabu jifanye uko makini Tena mizigo yote acha ila siku mkeo akikuletea uje Tena hapa na huu uharo wako
haya mambo hayapangwi kisheria huanza kama tabia , Kisha tabia ikikomaa huwa ni utamaduni . kwani siku mnaanza kusalimiana Shikamoo mlitunga Sheria ? afu unajistress kwa vitu minor we amka asubuhi mwambie babako na mamako mambo vipi !!! uje utupe majibu hapa imekuaje
Ulivyokua boya unakaribisha maswali kwa kitu ambacho huna utaalamu nacho ..... hakuna cheo kinaitwa RSM ndugu afu haya majeshi mengine hizi ni taasisi za kiraia zikizoundwa kupambambana na vikundi vya kuharifu vya ndani ndio maana wote wakizidiwa huitwa hao wanajeshi
Angalia akili za ma PC wa police kazi kupasi nguo na starch ndicho unajua tatizo movie mnazo angalia komando Hawa wamefanya mengi nchi hii Hamza tu aliwatoa jasho
Wabongo wajuaji Sana weak kwa viwango vipi ? afu huwezi onyesha coin yako ya mwisho ila Mungu mkubwa ukiuliza hizo nchi zote nani zinamhofia kwenye makablasha yao watakueleza and they know TPDF well we ka huko vijiweni kwako kwa mpalange and you talk this shit
nguvu hiyo inaitwa fanty power ambayo hata wazee walipambana nayo wameishia kujenga nyumba moja kwa maisha yao wanazeeka hawana kitu hii nguvu ni ya asili waulize watu wa kigoma kwa Nini hawajengi kwao
Fanya tafiti man vile vibwagizo hata Korea marekani wanavunja tofali ulitaka kwenye events kama waende na laptop Dunia ya Leo Bado hakuna mbadala wa kutumia nguvu hata hao wamareni Bado miguvu jeshini ipo
Msipotoshe umma kwa uelewa wenu mdogo juu ya maswala ya kijeshi huyu father alipata mafunzo rasharasha ya kijeshi yaani hata mafunzo ya mgambo yako juu yake kupewa hizo nguo na wasudani kusini Haina maana tayari ni mwanajeshi , mtu Toka kujiunga na Jeshi huchukua miaka 15 kua na cheo cha Major...
Haya sio mavazi ya JWTZ hayo mavazi ya Jeshi la Sudan kusini kule vyeo hupeana tu mfano hakuna nyota nne JWTZ huyo kavaa nyota nne ugumu na mda wa kozi ya komando , PhD , upandre , kadet , napandaji wa vyeo haiwezekani kwa mtu mmoja chanzo cha habari hakiko sahihi na habari hii imekanushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.