Sasa shemeji ni Mungu yupi huyo ambae anaruhusu Pombe? Chama chenu kimesema kikishika hatamu mtaboresha pombe aina ya Gongo lakini nisimakatalie huyo Mungu atakuwa wa pale Ufipa.
Jmushi1 matusi ya nini mimi nakuona ni mwehu kwasababu unamtukana mtu usiye mjua ni sawa na kurusha ngumi hewani tulia ufunzwe historia ya kweli ya hawa wazee... acha kurukaruka kama kuku aliyechinjwa!
Nguruvi3
Haya unayaandika kwa chuki zako binafsi sisi tunaitaka Zanzibar yetu huru lakini hilo suala la Zanzibar ni mzigo ni tusi kubwa kwa wazanzibar..... yaani natamani hata kesho huu muungano uvunjike.
Zanzibar tulikuwa hatujui mambo ya @ulevi,uzinzi,wizi mmetuletea nyie wadanganyika...
Namnukuu Hamad Rashid wakati akiwa (KUB) anasema wakiwa bungeni mbunge wa Moshi mjini Philemon Ndesamburo aliniuliza hichi chama chenu cha CUF mbona kimekaa kiislamu?
Leo hii hawa hawa wafuasi wa Chadema wanasema chama cha ACT ni chama cha kiislamu kisa nyota mara chama cha watu wa Kigoma hapo...
Nani CCMB CHADEMA au CUF?
Juma Duni Haji
MADHUMUNI ya Chama cha wananchi (CUF) kama yalivyo katika Katiba yake ni, Kuwaunganisha Watanzania wakatae uonevu, kudhalilishwa, kunyanyaswa, kubaguliwa au maovu mengine yanayoweza kufanywa dhidi ya heshima ya utu wa binadamu, yawe yanayotendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.