Unashangaa hao WASAFIRISHAJI, ngoja ubahatike kuona orodha ya WABWIAJI wa huo unga ndipo utakaposhangaa. Asilimia 99.9 ni wa mlengo wa kulia. Huoni wakati huu wa nanii, kuna utulivu mkubwa mitaani!! Hata bucha za nanii bidhaa zinalala. Zimekosa wateja.Tehe tehe tehee!!!
Hakika chadema ni jembe. Pamoja na ubize wangu leo nimebahatika kushuhudia LIVE wakati wabunge wa chadema wakichangia makadirio ya bajeti ya ofisi ya rais. Nimejionea mwenyewe namna vijana wa chadema wanavyolichachafya bunge kwa masuala mazito na muhimu katika taifa letu. Kwa kweli inaleta raha...
Ni mtu mpumbavu tu anayeweza kushangalia maghorofa marefu akidhani ndiyo maendeleo. Ndiyo maana wengi wetu tumechoka na hiki chama kinacholeta maendeleo ya vitu badala ya watu.
Kwa kawaida watu wa pwani ni tegemezi. Hili halina ubishi. Kikwete amelelewa katika jamii ya aina hiyo. Mbaya zaidi chama anachoongoza hakina dira wala mwelekeo. Ndiyo maana haoni shida kutumia gharama za safari kwa matrioni ya shilingi kwenda kuomba misaada ya mabilioni ya shilingi. Ndugu zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.