Ngoja tuone maana ndio system ya siku hizi kuajiri watoto wadogo ili wawabuluze tu kwani wanajua mtu ambaye ni fresh from xl bado hajawa na utamaduni wa kuajiriwa
Nafikiri kaka umesoma sheria lakini sheria yako haijakukomboa kutoka kwenye umaskini wa akili! Wewe umesoma sheria unataka kazi ya utawala kisa tu kazi zimetoka kwenye idara ya mahakama< wacha usomi uliopitwa na wakatik si kushushwa hadhi isipokuwa ni kila mtu afanye kulingana na alichosoma.
kama habari hizi ni kweli nimefurahi sana kwa maana hii Nchi tunapoelekea ni kubaya niliwai kusikia ipo siku kutakuwa na pande mbili zinazoshindana hasa vijana watoto wa matajiri na watoto wa walalahoi! tusiishie hapo kwa taarifa ni nguvu tuendelee kujuzana wana jamii wenzangu hasa wa mikoani...
mimi pia niliitwa kwenye post ya afisa tarafa bt nimeshindwa nlishindwa kufika cz sikuwa na nauli nipo musoma mara! jamani kwanini utumishi wasiwe na ofisi kila mkoa au zone
Pamoja ni haki ya msingi ya kila anayehitaji kuomba lakini ukweli kabisa bila kuficha ukweli ni kwmba afisa rasilimali watu wa uhamiaji ni kilaza kupitiliza! hii siyo hr niliyosoma darasani!
Jamani mbona mnanitisha wewe mtoto wa maskini kama mimi hacha kulia simama songa mbele hata vimemo vikiwepo mwisho wa siku mungu anajua namna ya wewe kufanikiwa tu! Mi mwenewe nimeomba bt sina pressure cz na mwamini mungu tu!
naona vijana wengi ni kweli mmeharibika nyani majibu mliomjibu mwentetu si mazuri na ya kiungwana hili ni swala la kuangalia kwa umakini kwa mfano mi na kazi hapa tayari lakini angalia hich wanachofanya jeshi la polisi ni ubaguzi kwa sasa pitia sheria ya kazi na ajira ya 2004 namba 7 pamoja na...
Watu hamfanyi shughuli nyingine pccb tu mwenzenu nimeona nianza kulima bustani ya nyanya ingawa mtaani wananicheka san eti nimesoma halafu nalima nyanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.