Jamani nauliza - hivi hao polisi wanaishi uraiani au wako kwenye baracks??? kama ni mtaani - wana ujasiri gani kufanya hivyo????
Jamani hivi hao polisi na huyo mkuu wao - wana familia???? hivi na familia zao pia zinawaunga mkono - wakirudi wanawapa "pole ya kazi???" na kama ni wanaume...
anne makinda ........................... anne makinda............................anne makinda ............................... jamani .. tujadiliane - tumchukulie hatua gani??? kumzomea haitoshi............how do we do with this "KIBARAKA" wa mafisadi??? Great thinkers - come out with a plan...
JAMANI - HII SUMU IKISHAINGIA MAHALI - NI HATARI - WAWE WAKIRISTO AU WAISLAMU - HAO WANAHALALISHA KUWAFUNISHA NDOA KWENYE MAHEKALU YAO ....................... NI HUZUNI KUBWA KWANI KANISANI NI MAHALI BA IBADA - SASA MADHABAHU ZINATUMIWA NA MASHETANI KUFANYA UOVU HUO.......................
KUNA...
Ingependeza kama angekuwa na kitu mkononi - presidaa mzima - anamsalimia mtoto mikono mitupu - ukarimu uko wapi hapo???
Upendo ni vitendo si.....vicheko
TAHADHARI: nilimsikia mwanajeshi mmoja akihojiwa na BBC - kuhusu ulipukaji wa mabomu yajo. Yeye alitoa sababu mbili:
1. Ukatikaji katikaji wa umeme
2. Mabomu yamechoka (yame-expire)
Sasa jamani TANZANIA KUNA MAGHALA MANGAPI YA SILAHA - MABOMU?? sasa kama mengine yaki-expire YANLIPUKA HOVYO...
sasa jamani raisi wetu si BONGO-LALA???? thinking capacity = NIL - alidhania kuwa rais ni kupigiwa makofi, kupishwa kwenye foleni, kupanda ndege kwenda majuu, kutanua na familia yake - kucheka cheka ovyo.................
mwanzoni alijifanya anaenda kutembelea wagonjwa muhimbili...
MAKINDA - ni mwongo ........... muoga.............. hajiamini kabisa.............. alidhania kuwaonea CHADEMA ni rahisi - amedhania ni wajinga na hawajui wanachofanya.
Jambo la kwanza - ana roho mbaya sana - roho korosho - hivi yeye anafurahia mauaji yaliyofanyika arusha???
hauji wabunge wa...
Eti Serikali ingeingia aibu - serikali iingie aibu mara ya pili jamani??? yale mauaji Arusha ni aibu tosha - spika angemwachia Lema aseme kama alivyomwambia hadharani na kumpa muda wa kusema kuwa waziri mkuu ni mwongo ..............watanzania wote tulikuwa tunangojea kwa hamu - spika anne...
Ha ha haaaaaaaaaaaa - uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii - heeeeeeeeeeeeeee - hivi umefikiria je hapo kwenye red???? umenichekesha sana. :cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:
SPEAKER - ANNE MAKINDA - anatia aibu - anadhania kuongoza bunge in UKALI - UPENDELEO - MABAVU - amekosea sana kujipanga
ameaibisha wanawake waadilifu wote wa Kitanzania - ameaibisha watu wa familia yake - kwanza anahodhi sana mali huyu mama - no wonder kile kiwanja chake pale nanihii...
watoto wa OBAMA sawa - na marais wengine ughaibuni - nadhani wanaweza kutekwa nyara halafu mahela ya kuwakomboa yakawa mengi - lakini nani amteke nyara RIZIWANI kikwete??? huku utamaduni huo hatuna - na baba yake anazo hela za kulipa ramson??? zote alishatengenea mabango - hivyo RIZIWANI aje...
shida inakuja pale ambapo - MWANAUME KATIKA NDOA NI "GROWN-UP BABY" - yaani amekuwa mwili tu lakini - akili, ufahamu, uwezo wa kuamua mambo hana - hivyo yeye kila jambo - anamwuliza MAMA yake or BABA or RAFIKI - whatever - hata kama hawakai pamoja - siku hizi jamani simu zipo - basi itabidi...
he he heeeeeeeeeee - ATAJIJU - alidhani kupata USPEAKER NI MCHESO EHEEE
KAZI KWAKE ........ simwonei wivu ila hakuteuliwa ki-halali - bado hajamfikia Samwel Sitta kusimamia bunge ------------ hilo afahamu -
KUONGOZA SIO KWA KUSOMEA - NI TALENT AU KIPAJI - na yeye HANA.
Kwanza lafudhi ya...
USIWE NA UHAKIKA - MWAKA 2015 .......... KAMA ASIPOBADILIKA ................ NA KAMA CCM IKISHINDWA KUREKEBISHA HALI YA MAISHA YA WATANZANIA...............PINDA ATAIKIMBIA NCHI MWENYEWE ............PEOPLES POWER ITAMTOA ..............hakyamama vile.............
same applies to chadema
CHADEMA unawajua lakini??? kamwulize JK - atakueleza ............. hadi leo HAIBA YAKE HAIJARUDI - LILE TABASAMU LA 2005 - KWISHNEY
akiwaza CHADEMA ..............halali usingizi .........kama huamini .........nenda KAMWULIZE
CCM wanatapa tapa - kwa aibu - ngoja wateuane weeeeeeee - kwani Kikwete si alibadilisha baraza lake la mawaziri mara kadhaa - lakini still hakuna cha maana kilichofanyika - lets call these POLITICS - mradi January yuko CCM - hataweza kufanya lolote - CCM wameshafilisi nchi - kama nasema uongo -...
anapendwa na CCM na sio Watanzania wote
anapendwa na Maasai wasio na ufahamu - wanachofahamu ni kufuga ng'ombe nyikani
so 2015 ...............dont be so sure - I dont see CCM winning na akija CHD hatutaki mafisadi - sorry to say thins but its the mere fact :sad::sad::sad::sad::sad::sad::sad:
mbona unaunga mkono mmomonyoko wa maadili??? badala ya kuji-tune na kuzoea
tunatakiwa tuji-tune na kubadilika - issue nzima ni TAMAA ZA MWILI TU AMBAZO HAZIZAI MATUNDA YOYOTE - divorce range za wenzetu (ughaibuni) ziko very high - kuachana ni mambo ya kawaida - lakini sisi bado tuna heshimu ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.