Nawapenda ndugu zangu vijana wa tanzania wenzangu,nafanya kaz kwenye kampuni fulani in services department na tunahitaji vijana wawili as mechanical technicians with little experience but ready to learn new things and self driven,We prefer guys from veta or FTC colledges.
Dah! Mwana unatema pumba mbaya! Hujui kama kuna vijana wako na kaz nzuri full kiyoyozi na magari yao na ya kaz pia,tupo humu na ikitokea kijana mwenzetu anatemba pumba tunahisi anakon'golwa mabuti na wajanja.
walimu bongo ni waoga na wanamtazamo potofu kuwa haki zao ni ngumu kupatikana na wakidai watafukuzwa na kwenda jera,achen woga walimu pesa zenu zimefichwa uswis
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.