Search results

  1. M

    Msaada: Biashara ya uwakala wa LUKU

    Habari wana JF! Naomba nifahamishwe kuhusu taratibu za kufuata ili kuwa wakala wa Luku. Pia malipo kati ya wakala na Tanesco yapo kwa utaratibu gani. Pamoja na experience mbalimbali za wajasiriamali wanaofanya biashara hii. Natanguliza shukrani
  2. M

    Natafuta mchimba kisima

    Natafuta mchimba kisima kwa ajili ya nyumba yangu Kigamboni. Naomba mwenye contacts za kampuni / mtu anayechimba anipatie. Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom