Mbunge wa kinondoni(CUF)bw SAID a amua kuachana na Chama hicho na kuacha nyadhifa zake zote ikiwemo ubunge na kujiunga na CCM huku akidai kufurahishwa na utendaji wa raisi .chanzo TBC HABARI
Aliyekua mbunge wa kinondoni said maulid(cuf )ajiuzuli nafas hio na nafasi zake zote ndani ya Chama hicho na kujifungua na ccm akidai kufurahishwa na utendaji wa rais
Aliyewahi kua waziri mkuu wa tanzania mh LOWASA apanga kesho kukutana na wanafunzi wa vyuo vya eli
mu ya juu JIJINI ARUSHA ili kuzungumza nao .ikiwa ni moja ya hatua ya kuanza safari yake ya matumaini.HATA HIVYO LOWASA ATAZINDUA RASMI SAFARI YAKE HIYO SIKU YA JUMAMOS KWA KUWAHUTUBIA WANANCHI...
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26 nahitaj girlfriend 18-23.Akitokea Arusha au Moshi itapendeza zaidi, sichagui dini wala kabila.
Alie serious ani pm
je kuna madhara yeyote au uhatarishi ukitoa mimba yenye mwezi mmoja..na je mimba inakua hatari zaidi kutolewa inapokua na miezi mingapi.
nahitaji kufahamishwa tafadhali
Wkati mwingine najiuliza maswali ambayo nadhani majibu yake yananiweka njia panda
KUKOSA MIKOPO MPAKA KWA PRIORITY FACULTY .
SWALI NI JE INAWEZEKANA EMS HAWAKUFIKISHA MAOMBI NA KAMA WAMEFIKISHA NI JE ILIKUA NJE YA MUDA.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.