mimi niliyekupa namba ya simu niko dodoma ;piga tu mama usihofu wala sina manyokanyoka mimi endapo hatutaafikiana utabaki salama salimini na tutakuwa tumeishia hapohapo.
inawezekana kwani usemapo hivyo inaonekana una fahamu uelekeo wenyewe yaani njia sahihi ambayo ni YESU unaijua tayari hio nia ndio inayo wafanyaga watu waokolewe na MUNGU si matendo yao kwani kila mtu kabla hajaokolewa alikutwa na dhambi na ndio maana akaokolewa -hivyo kama wote tulitenda...
hi!Dada nimesoma post yako tafadhali tuwasiliane kwa 0652 750905 ili mi na wewe tuongee kwa kirefu kwani hata mimi sasa natafuta mtu na ndio nimetoka kupost ya kwangu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.