kama una akili, mleta uzi ungemshauri warioba akatulie nyumbani kwake asubiri siku ya kupiga kura apige kura ya HAPANA. warioba kuendelea kuikosoa katiba pendekezwa, kimaadili ukizingatia yeye ni jaji, anakosea.
mnajua kwa nini hakimu au jaji huwa anajitoa kusimamia kesi iwapo mtoto wake au...
leo ndiyo mwisho kwa warioba kuhudhuria kongamano lolote kuhusu katiba. polisi lazima watazuia kongamano hilo kwa sababu ya hofu ya kuvurugika amani. kwa heri warioba
kiongozi gani anaevunja katiba kwa kuibadilisha mara kwa mara ili aendelee kutawala? chdm inatia aibu. tulidhani mbowe atatofautiana na lipumba, seif, cheyo na mrema ktk kung'ang'ania madaraka kumbe ni walewale.
pumbavu mbowe!
hivi ccm wakiamua kugusa katiba kwa kumuongezea kikwete muda chdm...
tume ilivunjwa siku nyingi. wajumbe wa tume hawana nafasi tena ya kuitwa dodoma. kabudi na warioba wakae kimya. hii ni zamu ya bunge la katiba. zamu yao ikimalizika katiba italetwa kwetu wananchi. Mungu amuongoze shivji ili awashauri vizuri na hatimae tupate serikali 2 zilizoboreshwa
katika kipindi hiki ambapo bunge la katiba limerejea, nashauri serikali IPIGE MARUFUKU midahalo yote ya katiba. ikiruhusiwa ni kama kushusha hadhi ya bunge
Mbona unahamaki dogo! wewe unaangalia dini ya mtu au uwezo wake wa kuiongoza Tanzania na kutuletea maisha bora na maendeleo? Pale ikulu Rais anaongoza ibada hadi uangalie dini ya mtu!? achana na fikra mgando za kizamani dogo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.