Ngoja waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe, Nauona Upinzanzi ukiwa na hoja nyingi sana kwenye majukwaa kwenye uchaguzi WA SERIKALI za mitaa, upinzani wapate vijana AMBAO SI machawa 😂😂😂 Wala BANGI MAJI,
MAKONDA alibua Mabaya kwenye Mazuri machache, juu ya wananchi na SI juu serikali
Unaenda...
Na vipi Hela wanazojikopesha, na hazirudi kukopi mambo ya Korea kusini TAIFA ambalo liko mile 1000000000 zaidi yetu Kwa Kila kitu ni uzwazwa
Umeme tu shida hyo mifumo SI ndo itadukuliwa umeme ukiwa umezima na kuchota Hela zote, naona kama Mzee wa SKAFU SHINGONI ANATIKISA KALAMU NJISI SHA-BABY...
Umenikumbusha swali ulilowahi kumuuliza Hatati MAGHUFURI Kwenye kikao Cha wahariri WA vyombo vya habari kama sikosei, Kuna swali uliuliza lenye mrengo huu
Alikutania Kwa Jina lako Kisha Akakuuliza
Nani anatafuta Hela kati ya SERIKALI ,mahakama na BUNGE😂😂😂
MAKONDA NI MAARUFU TOKA ANAZALIWA, alishakua maarufu kabla na baada, means ni umaarufu wake Upo damuni,
Dhahabu safi ni ile inayopita kwenye moto mkali, KWANINI MAKONDA ATIKISE kila KUTEULIWA na kuenguuliwa kwanini asiwe mwningine, kwanini asiwe NDALICHAKO KUJADILIWA😂😂😂
Hana Hisia tena na wewe tena kama mume wake,kakuzoea, kama hujawai kumcheat( kuchepuka na akajua) Rudisha urafiki kwake mfanye kuwa RAFIKI katika maongezi, na utani mdogo mdogo, na kumsifia sifia nifanye kama na wewe siku hizi hutaki mambo hayo😂😂
Kwa zoezi Hilo ndani miezi 3 aspobadilika jua...
Vitoto vya mwaka 2000 na 2005 ni shida tupu Sio Hadi mtandaoni shida
NENO LA AIBU KANALIANDIKA ZIMAZIMA BILA HATA KUWEKA TASFIDA
@Wanajiita watoto WA MAMA KIZMUKAZI😂😂
Jitazame kwanza kama umekamalika kweli kuwa mke WA mtu na si MWANAMKE WA MTU
Mume Anaitaji mke katika Ndoa, kama uko na vigezo vya mke,bhas hao unaowaita wachumba yawezekana unakutana na WAVULANA😂😂😂
WAVULANA NDO WENGI SANA WANAUME WENYE SIFA ZA KUITWA MME WA MTU, TUNAZIDI KUPUNGUA KIZAZI CHETU...
Tunaenda na muda mkuu, fikiria tuna ibada 3, alafu Kila ibada wamesali wageni 30 au 50, muda SI utatumika kutambulishana Kama ni mgeni umekuja RC subiri muda WA sadaka toa SADAKA Yako NENDA NA BARAKA TELE haya Kila mtu akujue sisi HATUNA hizo habari😂😂
MBOWE aachie ngazi, Acheni kujifanya wana demecrasia WA maneno, Ruhusu fikra MPYA na maono mapya yachukue Hatamu,
MBOWE anatakiwa KUNG'ATUKA, hojaya kusema et upinzani utakufa,porojo nyingi Upinzani ulikuwepo hata kabla ya MBOWE, Vijana wanazaliw,wanasoma hawatajua hizi habari za ccm kujenga...
Ndg mayalla huwa nakufatilia sana ila umetukatili sana Leo kutupunguzia Nyama na minofu kwenye hili andiko 😂😂😂 nilitegemea kupata minyama kama Yote humu
Barikiwa sana
Sahihi kabisa
Mi nakumbuka hawa chadema lowasa huyu huyu alitajwa Hadi kwenye RIST OF SHAME YA TAIFA NA MGOMBEA WAO WA MWAKA 2010 Dkt SLAA kuwa ni fisadi fisadi fisadi, Kisha wakampamba tena kuwa SI fisadi ila waliobaki ccm ndo mafisadi😀😀
Naungana na maneno Yako kuwa hawa jamaaa hawajakomaa...
Vijana WA abavicha kweli Kuna muda mnakua hamunazo
Hivi kati ya vijana na viongozi wa kitaita WA vyama hivi kati ya chadema na ccm walianzisha mashambulizi dhidi ya LOWASA
TUANZE NA ILE LIST OF SHAME YA SLAA, Hadi maneno ya Akina MUSIGWA LISU NA WENGINEO WOTE WA CHADEMA,
R.IP Lowasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.