Habari za kutoka Geita zinadai kuwa mwenyekiti alikuwa anahoji matumizi ya pesa ambazo zinatolewa GGM (Mgodi wa geita) kusaidia maendeleo ya wilaya ya geita.
Pamoja na fedha lukuki zitolewazo hakuna maendeleo ambayo mtu anaweza kuonyesha wapi hizo fedha zimefanya kazi. Maana nasikia alienda...
DINGSWAYO; Nakubaliana na nawe kabisa! Mana nikweli hao mafisadi yakiendelea kubaki kwenye chama hapo ndo bazuri wanyukane VIZURI na chama kimeguke na ndoto zitimie .RIP JK Nyerere
Nawapongeza viongozi wa chadema kwa kuona mabali walipo mpiga stop kugombea uwenyekiti wa chama. Swala kuwajibika ni muhimu na ZITO kwanza kwa cheo alichonacho alistahili kufukuzwa hata uwanachama
JK kamchagua Dr Billali kama mgombea mwenza, na anacheza muziki kwa sana. Je, anfuraahia kuwa amepata machapakazi au anaonyesha kuwa amemuogopa kutokana na vitisho alivyo toa kama hata mchagua kua mgombea urais wa zanzibar?
Originally Posted by Susuviri
Mzee Mwanakijiji: I don't want to sound cynical but that is what I am about to write will sound like: Newspapers like other commodities is demnad and supply. Kama watanzania tunapenda kusoma malumbano ya wakubwa au kuangalia picha za ngono na ufuska, wacha...
Mimi napingana na hoja za Mkandara kwamba anauliza kuwa mbunge anachaguliwa na wananchi, lakini akumbuke ya kuwa elimu ya mtu inashawishi wapiga kura kwa matarajio kuwa huyu ni msomi ambaye atakuwa ni hazina kwa maendeleo ya taifa kama alivyo ongea bwana Mkira.
Kwa kumrudisha nyuma kuna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.