Kijana Niki Wa Pili anajitahid kupelekeshana na Zito ila Zitto anajitahid kuonyesha ukomavu wake
kipindi kimekuwa kizuri ila mtangazaji amepwaya Sana
Niki Wa pilli kaonekana Kama mtangazaji
Kijana Niki Wa Pili anajitahid kupelekeshana na Zito ila Zitto anajitahid kuonyesha ukomavu wake
kipindi kimekuwa vizur ila mtangazaji amepwaya .Niki Wa pilli kaonekana Kama mtangazaji
prof nae anatakiwa kurudi.... watanzania wenye nia ya kuisaidia inchi lazima Mungu awe nao...
propanganda za wachache haziwezi kutufanya tushindwe kuiendeleza nchi
heko sekretarieti ya maadili kuweka ukweli waz
Namkubali Sana Prof Muhongo..Kuna nguvu kubwa inafanywa na watu wachache ili muhongo awajibishwe kwa maslahi yao...Kwa sababu Mungu anania nae Kwa Ajili ya Watanzania Atamuepusha na Janga hili
Muhongo kaibadilisha saana wizara ya nishati na Madini na Watanzania tunaelekea kwenye neema...
Hapo chini ni maoni ya Mwalimu Joseph Ludovick kijana anaehusishwa na sakata la lwakatare akitoa maoni yake kuhusu bunge la bajeti
=============================
=============================
Wakuu, Nimeona na kusikia malumbano juu ya kura ya siri ama ya wazi. Kila upande una hoja.lakini...
Posho Bunge Maalumu la Katiba kuwa 500,000 kwa siku.
Habari zilizoandikwa na gazeti la Mtanzania la Leo kwamba Kamati ya kufuatilia posho za wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000 kwa siku imethibitishwa ni kweli.
Natoa wito kwa Wananchi wote...
Hana kosa mkuu,ila soma.taratibu majibu ya huyo mdau utaelewa daktari anasimamia wapi..soma kwa ustadi na bila mhemko na tafakari kwa kina u will conclude something
Makamanda, achane hasira ; kuna ukweli katika kila hoja inayotolewa hapa, tatizo ni pale inapotofautiana na kile tunachotaka kukisikia.
Majiby ya Dr. Kitila nimeyapenda, yana mambo mengi ya kujifunza kwa sababu ya utalaam wa mwandishi, ingawa pia imeandikwa kishabiki kutokana na status ya...
Najiuliza, mathalan 'factors' zote za sasa zikibaki 'constant' na Chadema wakampa MM Uenyekiti na M1 Ukatibu Mkuu, je Chadema ingeshinda chaguzi hizi kuliko ilivyofanya hivi karibuni?
Angalia Kigoma.....! ▶ Sho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.