Inamaana huyo mtoto mlipata vipi? kama huna hisia nae,inawezekana unacheza mchezo inje ukirudi nyumbani ukifika wakati wa tendo la ndoa huna appetite nae ndio maana yake.
Bro umeambulia kaswende,kachukuwe kombaakiti dawa 1 safi sana inapatikana ktk maduka ya mifugo,kisha chukua cc3 tafuta mtu akudunge utanipa siri ya mafanikio baada ya siku 1 mbeleni.
Jamani haya ni mauji, siyo vizuri mtu kumfanyia ukatili wanamna hii binadamu tumekuwa kama wanyama, atakama kamfumania na mke wa mtu vyombo vya sheria vipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.