Search results

  1. N

    Msaada wa mtu mwenye uelewa au ujuzi na upimaji ardhi.

    PM upate msaada ukiweka namba yako
  2. N

    Barabara ya Makongo Juu -Hakuna mwenye macho?

    Acha basi huo utani. Wenzako tuko serious!
  3. N

    Barabara ya Makongo Juu -Hakuna mwenye macho?

    Mvua zilizonyesha karibuni zimeiacha barabara hii ambayo imetelekezwa kwa muda mrefu katika hali mbaya sana. Barabara hii ambayo umuhimu wake umeongezeka zaidi hasa baada ya kuwa kiunganishi na wakazi wa Goba hadi Mbezi Kimara imekuwa na magari mengi kuliko kawaida. Cha ajabu hakuna anayetupia...
  4. N

    Wapi nitapata brown rice kwa bei nzuri?

    Brown rice kwa bei ya 3000 kwa kilo inapatikana. Wasiliana nami-PM nikupe maelekezo. Toa oder yako mapema tukuandalie.
  5. N

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Watu wengi tunalalamika sana huku tukiendelea kuchangia. Nadhani inahitaji sasa kuanza kuchukua hatua.
  6. N

    Vodacom wezi sana!!!!

    Sijui wengine walipitia wapi shule. Yaani Hamia inakuwa "amia" hebu tujifunze kuongea na kuandika kiswahili sahihi. Hadi inakera utasikia ela badala ya hela, akuna badala ya hakuna, etc sijui kwa kweli vilianzia wapi. Hiki kizazi kinataka kuharibu kabisa lugha.
  7. N

    Wanaume tuu!!!

    Akili yako inatakiwa iutawale mwili sio mwili uiongoze akili. Wanadamu tumepewa uwezo wa kuamua kwa kutumia akili na kujenga mazingira yatakayokufanya usishawishike. Kwani mwili ukijisikia kufanya hivyo si lazima unafikiria kwanza, halafu unaanza kupanga mikakati namna gani upate mwanamke...
  8. N

    Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?

    100% posible. Na hii ndiyo design ya mwanzo ya ndoa aliyoweka Mungu. Wale wanaochagua miili yao kuitawala akili na siyo akili kuutawala mwili hawawezi. Maana asili ya mwili ni kuwaka tamaa na kutoridhika lakini Mungu amekupatia akili ya kuchagua jema na kuuadibisha mwili ufuate uamuzi wako wa...
  9. N

    Nimekubali Ndoa Ni Ngumu Kwa Wote, Japo Ni Raha Pia, Unasemaje?

    Hata kama kukiwa na kasoro za hapa na pale ukweli lazima ubaki kuwa "Ndoa ni mbaraka kwa wanandoa wanaoingia katika misingi na taratibu zinazotakiwa" Mungu aliyenzisha ndoa alisema "Si vyema mtu huyu aishi peke yake" Leo watu tunataka kupindua kauli ya Mungu na kusema "Ni vyema kuishi peke...
Back
Top Bottom