nafikiri tutakua na mjadala mrefu usioisha cha msingi dola ifanye kazi yake kuhakikisha sheria zinafuatwa.hao uamsho kina ponda hawana hoja za msingi.km wangekua na hoja zenye tija kwa nini wafanye fujo hakuna njia mbadala.hii nchi ni ya upendo na amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.