Duniani, Majeshi huwa hayaanzishi machafuko, machafuko huanzishwa na wanasiasa.
Jeshi hutekeleza tu amri za wanasiasa.
Madhaifu ya utendaji wa Jeshi hutokana na mapungufu ya busara za viongozi wa kisiasa.
Nifedheha kwa wanasiasa kulidhalilisha jeshi kwa kulitumia vibaya ila ni fedheha sana kwa...
Matokeo ya uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa
Walio piga kura 8,626,283 – 42.84%[/FONT]
Kura zilizoharibika – 227,889 – 2.64%[/FONT]
Kura halali – 8,393,394 – 97.36%
1. APPT Maendeleo – 96,933 –...
majibu mazuri nataman ningepata zaidi sababu majibu haya yanatofautiana ila hoja ya msingi kwenye majibu haya ni kupotea kwa madaraka ya cccm sijui kama kuna jingine?
Wenye tamaa ya madaraka wameamua kutengeneza katiba inayowapendelea wao kama watawala na ni katiba iliyodharau maoni ya wananchi. Wananchi ambao ndiyo waliowaweka hao watawala madarakani. Watawala wameamini maoni ya wananchi hayana maana na ni ya kijinga ila maoni yao kama watawala kupita chama...
sijawahi kuona mtu mwenye kichwa box kama huyu mwigulu nchemba unawaomba wananchi waipitishe hii bajet nadhani ni wajinga tu ndo watakao unga mkoni hii bajet
mkuu yupo sawa kabisa
wanasema akili za kuambiwa changanya na zako kuna tatizo ndani ya chama
ikumbukwe kuwa huyu aliwahi kuwa kampeni meneja wa dk slaa
acha hawa wangoni wapate tabu maana waliamua kuwachagua hawa watu kwa tamaa ya kanga na tshirt ona jinsi uzao wao unavyopata tabu kidumu chama cha mapinduz huko kusini huku mkiendelea kutembea peku
Nianze kwa kuzungumzia mapungufu ya hawa watu wawili dk slaa na zitto kabwe ili jamii ielewe nani alianguka wapi na na wapi alianguka nani
DK SLAA
Kiukweli dhahama inayomkuta Zitto hivi karibuni ni baraka za dokta slaa. Dokta alilijua hili mapema na alikuwa na jukumu la kumuita Zitto na...
Nianze kwa kuzungumzia mapungufu ya hawa watu wawili dk slaa na zitto kabwe ili jamii ielewe nani alianguka wapi na na wapi alianguka nani
DK SLAA
Kiukweli dhahama inayomkuta Zitto hivi karibuni ni baraka za dokta slaa. Dokta alilijua hili mapema na alikuwa na jukumu la kumuita Zitto na...
haya maneno ya kusema kuwa kuna baadhi ya mambo inabidi yaongelewe ndani ya vikao vya chama yanapelekea ukweli mwingi ufichwe
ivi ni kweli haya mambo mpaka leo hayajatafutiwa ufumbuzi mpaka leo ndani ya chama
ukweli ni kwamba chama hakiwezi kuyatatua haya mambo hivyo basi kama ukweli humuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.