mzee wa sm (feg) ukiwa wazr wa mawacliano na mgombea jimbo la Bahi uliwahadaa wananch kigwe kwa kujenga jengo na kusambaza nguzo za cm lakin baada ya kushinda uchaguz ukangoa.mtambo na nguzo hukuviuza kumkabil kimbisa Ukimwona bad + well muulize hiyo m1 ya mkuranga alitaka kutmizia ahad gan...
hilo jina kusila linanitian kichefuchef mno nakumbuka alivyowadanganya wananch wa kigwe kwa kusambaza nguzo za cm then baada ya kushinda uchaguz akang'oa.cjaona jipya hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.