Pole kusila nasi tuliumia hvo wakati ukiwa wazir na mbunge wa Bahi

msimbejenda

Member
Oct 13, 2012
9
0
mzee wa sm (feg) ukiwa wazr wa mawacliano na mgombea jimbo la Bahi uliwahadaa wananch kigwe kwa kujenga jengo na kusambaza nguzo za cm lakin baada ya kushinda uchaguz ukangoa.mtambo na nguzo hukuviuza kumkabil kimbisa Ukimwona bad + well muulize hiyo m1 ya mkuranga alitaka kutmizia ahad gan? SAMAHAN LAKINI
 
kusilaaa! nakumbuka alipokuwa naibu waziri anasimamia reli, alikomaa jamaa yangu atimuliwe kazi bila sababu za msingi!
 
Kusila alikuwa anafanya Jimbo la Bahi kama lake na kuwaburuza wananchi na kutowaletea maendeleo ya aina yoyote
 
Ukitaja viongozi waadilifu 5 ambao walikua mawaziri na hawakua mafisadi Kusila ni mmoja wao,ni mtu smart,anaichukia rushwa kwa vitendo,alimkatalia Kimbisa mwaka 2010 amuunge mkono kugombea ubunge kwa kumpa 10 milioni,Kusila ndie alie pigania jimbo la bahi kuwa wilaya! tatizo bahi ni wilaya ya wagogo wajinga kuliko wagogo wa wilaya zingine za dodoma,Badwel ni form 4 division 31 aka wahonga pombe akawa mbunge na hadi leo anaipa migogo pombe! Kigwe ni kijiji ambacho hawana kazi ya kiuchumi hawalimi! Kusila ndie alitokomeza wizi wa mifugo dodoma! Binafsi najuta kuzaliwa mgogo! ni kabila la watu maskini wa mawazo na goigoi!
 
Ukitaja viongozi waadilifu 5 ambao walikua mawaziri na hawakua mafisadi Kusila ni mmoja wao,ni mtu smart,anaichukia rushwa kwa vitendo,alimkatalia Kimbisa mwaka 2010 amuunge mkono kugombea ubunge kwa kumpa 10 milioni,Kusila ndie alie pigania jimbo la bahi kuwa wilaya! tatizo bahi ni wilaya ya wagogo wajinga kuliko wagogo wa wilaya zingine za dodoma,Badwel ni form 4 division 31 aka wahonga pombe akawa mbunge na hadi leo anaipa migogo pombe! Kigwe ni kijiji ambacho hawana kazi ya kiuchumi hawalimi! Kusila ndie alitokomeza wizi wa mifugo dodoma! Binafsi najuta kuzaliwa mgogo! ni kabila la watu maskini wa mawazo na goigoi!

Wewe utakuwa mtoto wake au mke mdogo huyu mzee ***** kabisa ameua RELI ya kati akiwa waziri wa uchukuzi pia kipindi MV BUKOBA inazama yeye ndie alikuwa waziri wa uchukuzi lakini hakuwajibika wala hakuboresha usafiri wa meli ziwa victoria,anamiliki mashamba makubwa ya ZABIBU na MIBUYU uko BAHI kawazurumu wapiga kura wake ardhi siku za hivi karibuni kageuka kuwa VUVUZELA la mafisadi.
 
Wewe utakuwa mtoto wake au mke mdogo huyu mzee ***** kabisa ameua RELI ya kati akiwa waziri wa uchukuzi pia kipindi MV BUKOBA inazama yeye ndie alikuwa waziri wa uchukuzi lakini hakuwajibika wala hakuboresha usafiri wa meli ziwa victoria,anamiliki mashamba makubwa ya ZABIBU na MIBUYU uko BAHI kawazurumu wapiga kura wake ardhi siku za hivi karibuni kageuka kuwa VUVUZELA la mafisadi.

Bila shaka una bifu binafsi wewe na kusila inawezekana ulikua nyumba ndogo yake siku hizi hakupi matumizi! Dodoma hakuna tatizo la ardhi wagogo hawalimi kabisa,wana anza kunywa pombe saa 3 asubuhi watalima saa ngapi,wasukuma ndio wamevamia bahi wanalima wagogo wanapiga pombe full time
 
Back
Top Bottom