Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza uchunguzi kubaini kashfa ya kontena tisa zenye namba za kulipia kodi TZDL 16-10-25830 zilizoingizwa nchini na Kampuni ya Silent Ocean Ltd ambazo zilinaswa na kitengo cha "Fast Team" cha TRA zikiwa na bidhaa mbalimbali za vipuri vya magari, viatu vya ngozi...
JIPU KUBWA JIPU KUBWA:
Naomba Mh. Makonda alitumbue mara moja..Halihitaji nguvu za Rais!!!
Hii ni kuhusu suala la kubandika matangazo katika kuta na kingo za madaraja katika jiji la Dar. Ukipita pale magomeni ama katika daraja la dart kimara na ubungo utachefuka. Watu wamebandika matangazo hovyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.