Nchi hii imejisahau, kila mtu anahangaikia tumbo lake kwanza matokeo yake watoto wa wakulima tunateseka bila sababu, sasa mtu ukitegemea wizara ya afya thn bahati mbaya ukose, utaenda wapi tena upokelewe, hii si kuk0m0ana...!
Kwanza nawasalimu wanajamii wote! Naombeni mnifahamishe system ya kupata malazi nje ya chuo ikiwa utakosa h0stel maana mda umekaribia, msaada tafadhali waungwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.