Kumekuwa na hali ya kushangaza sana siku za hivi karibuni kwani vyombo vya habari vimeripoti sana juu ya tuhuma za SEMBE na PEMBE ZA NDOVU. Na cha kushangaza zaidi ni kuwa kila Mtanzania anayekamatwa China ni Madawa ya kulevya[sembe] na kila Mchina anayekamatwa Bongo[Tanzania ni pembe za...
Kwa sasa ndani ya chama kikuu cha upinzani[CHADEMA] kumekuwa kunakutofautiana mawazo kwa Makamanda wake,kiujumla CCM na vibaraka wake wamekuwa mstari wa mbele sana ktk kuchochea ufa baina ya makamanda. Huku wengine wakijifanya watabiri feki wa Kifo cha chadema mfano wiki iliyopita Mzee wasira...
Ndugu wanajamvi naomba mnisaidie suala hili. HIVI ILI UWE MPAMBANAJI MZURI WA MASLAHI YA WATANZANIA NI LAZIMA UWE KIONGOZI WA CHAMA AU SERIKALI? Naomba mnisaidie ndugu zangu
Ndugu wadau katika maisha ya kufanikiwa daima lazima uwe makini na unayejielewa, ila katika hali isiyoya kawaida serikali imekurupuka na BIG RESULT NOW pesipokuangalia watendaji wakuu wa sekta husika. Leo napenda kuzungumzia sekta ya elimu ktk wilaya ya Kondoa/chemba, kwa data za kitaifa wilaya...
Kumekuwa na tabia ya vyama vya siasa hasa CCM kuwarubuni wananchi kwa vitu vidogo vidogo kama majani ya chai, sukari, kanga, sabuni, mchele nk ili kuwafanya wananchi wawapigie kura au wawaalike katika mkutano yao.
Na tabia hii imeshaota sugu miongoni mwa watanzania wengi na hii inatoka na...
Binafsi nimeangalia mwenendo wa siasa za Bongo na nikagundua kuwa kuna mambo matatu muhimu yatakayoifanya Ccm itoke madarakani. Nayo ni:
1. Tume huru ya uchaguzi.
Hapa itakapopatikana tume huru ya uchaguzi patakuwa na free and fair election na ili haliwezekani bila katiba mpya.
2...
Wote tunatambua dhamira ya kweli aliyonayo mh raisi katika kuhakikisha Matokeo makubwa katika baadhi ya sekta kama madini, miundombinu, elimu na zingine.
Ila leo ntajaribu kijikita katika sekta ya elimu. Binafsi nimefanikiwa kupitia karibu shule zote za kondoa kusini/chemba na katika pita pita...
Leo ii wachina wamekamatwa wakiwa wanatengeneza nondo feki na taarifa zinadai kuwa zimeshasambaa sehemu tofauti ndani na nje ya Tanzania. Kama ndivyo tunategemea nin? TUSIPOKUWA MAKINI JAMAA WATATUTAWALA KAMA NDO IVO WASHAANZA NA KUPANDA MAJUKWAANI.
Ni ukweli usiopingika kuwa hali ya magamba Mbulu ni mbaya tangu 2010 mpaka sasa, japo CCM wanajaribu kutumia kikundi kidogo cha sarakasi cha tumaini group kama njia mojawapo ya kuvutia watu katika mikutano yao, ila wambulu ni watu wenye misimamo hasa kwa kile wanachokiamini [CHADEMA] na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.