Search results

  1. T

    Taarifa ya IMF: Mamlaka za Tanzania zimegoma kutoa kibali cha kuchapisha data za uchumi

    Unakumbuka tathmini iliyofanywa na Twaweza kuhusu kukubalika kwa Rais? Unajua nini kiliwakuta? Tukubali tukatae nchi yetu sasa hivi haiko vizuri.
  2. T

    Tanzania Tumehama Dunia ya Tatu, Tunakwenda Dunia ya Kwanza. Baada ya E-passport, tunakwenda E-Visa, E-Permits, E-lincencing

    Kigezo kikubwa katika kubaininsha kama nchi iko dunia ya 1, 2 au 3 ni kipato cha mtu mmojammoja katika nchi. Sasa jiulize je kipato hicho kinaongezeka au kinapungua?
  3. T

    Tuchore mstari kwenye suala la ushoga

    Sijasahau, na nilipinga kauli ile muda huo. Mimi sisemei uCCM na UChadema, ninachosema ni kwamba mikakati serikali sasa hivi dhidi ya ushoga ilenga kuwadhalilisha victims wa mazingira yanayosababisha ushoga na kiki zaidi, huku ikiyafumbia macho na kulea mazingira yanayosababisha ushoga.
  4. T

    Tuchore mstari kwenye suala la ushoga

    Huu ushauli mpelekee aliyewaachia huru wakosaji wa kulawiti watoto wadogo. Hivi mnajua ushoga unaanzaje? Suluhisho zuri ni kupambana na chanzo na kutoa elimu kwa wahusika, siyo kamata kamata na kutoa matamko tu.
  5. T

    Who is more beautiful?

    Hivi huwa unamshabihikia Obama? His preachings are against every thing you believe in.
  6. T

    Bado hujahonga mchepuko hapo... kazi Kweli kweli

    Umesahau mkopo wa HESLB, kuna watu unatukula kwa kipaza sauti.
  7. T

    Twitter napo kuna vituko

  8. T

    Lema amjibu Gambo suala la CCM kupewa ruhusa ya kufanya fujo na kuchukua jimbo kwa gharama yoyote

    Mh Lema, With all due respects, ongelea pia watu wako, Gambo ameruhusu vurugu za wanaCCM si dhidi yako tu, bali kwa kwa wote waliotishio kwa CCM, ikiwemo wanachadema wote, si wewe peke yako.
  9. T

    Marekani nayo yatoa tahadhari kwa raia wake kuhusu maandamano ya tarehe 26/4/2018

    Kwa hiyo wewe na serikali mnataka Lisu asitibiwe?
  10. T

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Wewe pia umekosea, kwa wanawake ni "heroine"
  11. T

    Google na Whatsap

  12. T

    Uelekeo mpya wa upinzani na nguvu ya Zitto Kabwe

    Mimi nikisema hakutakuwa na impact yoyote. Kuhusu kung'olewa kucha: mbona Zito anaongea na hajangolewa kucha? Kuliko kuacha chama kinakufa afadhali hao viongozi wajiuzulu wapishe ambao wanaweza kuongoza bila kuogopea kucha.
  13. T

    Uelekeo mpya wa upinzani na nguvu ya Zitto Kabwe

    Kuzila au kususia ni udhaifu wa kijinga (sitaki kusema ni mambo ya kike maana hiyo itakuwa kuwadhalilisha mama zetu na dada zetu). Sasa kama watawala hawatatoa nafasi basi tutulie tu kama mazwazwa? Tunahitaji upinzani unaoweka mikakati ya kurudisha nchi kwenye mstali bila kususa. Kwa mawazo yako...
  14. T

    Uelekeo mpya wa upinzani na nguvu ya Zitto Kabwe

    Najua wenyewe watachukia, lakini ushauri wangu always ni kubadilisha mwenyekiti.
  15. T

    Ripoti ya CAG kwa mwaka ulioishia 30 Juni, 2017 imejaa madudu

    Hivi seriously kuna watu bado mnapromote usirisiri? Zimeanda wapi zama alizoanzisha Mkapa za uwazi na ukweli? By the way, kujadiliwa mtaani si ndo kunalipa bunge nyenzo na dhana za kujadili kwa upana zaidi na ku-address concerns za wananchi?
  16. T

    Ukusanyaji mapato mradi wa Mwendokasi: UDART yamaliza mkataba na MaxMalipo, kusaini mkataba mpya na TTCL..

    Mimi nilinunua modem ya TTCL, 4G yao iko slow na inakatka kushinda hata 3G ya Airtel, alternati modem niliyonayo.
  17. T

    Jenerali Ulimwengu: Demokrasia inaminywa kwa sababu watu hawahoji viongozi

    Mlikuwa wapi? Mbona uhai wa wanaohoji umeanza kuwa mashakani kitambo na uchumi wa wananchi umeharibika mlikuwa kimya?
  18. T

    Kumbukizi la Mwalimu Nyerere: Mchango wa Mwalimu Nyerere Kuhusu Amani, Umoja wa Kitaifa na Uwajibikaji

    Huu ujumbe auelekeze na kwa viongozi wengine wa serikali.
Back
Top Bottom