Habari wasomi wenzangu....Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha nne, amepata division 3 ya 23 na matokeo yake ni kama ifuatavyo:-
English - C
Geography - C
Kiswahili - C
History - C
Civics - C
Biology - C
Math - F
Sasa naomba ushauri, nimpeleke ADVANCE au aende CHUO?
Wamepiga 300000/= kwa siku kwny siku 70 kwenye Bunge la Katiba, wanapiga tena hela hiyo hiyo kwenye ili Bunge la Bajeti, wakimaliza hapo wanakuja kupiga laki tatu kwa siku kwa siku 60 kwenye Bunge tena la katiba, kweli hakuna usawa hapa......wanachuo tuna hali mbaya hatujapewa hela yetu hadi leo...
Jamaa aliyeanzisha hii Mada ni Mbishi kinoma!ila kila kitu kina uzuri na ubaya wako inawezekana hayo yanyoelezwa na wadau ni Mapungufu ya UD na mengine ni mazuri yake hivyo ni changamoto tu!Ila yote ni hivi Kinachoangaliwa ni Mhusika mwenyewe yupoje baada ya kumaliza Chuo,Wa UDSM anaweza akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.