Kwa kilichotokea UGANDA kiwe Mfano mzuri kwa Tume za uchaguzi Africa Mara Baada ya kumtangaza mbunge wa Chama cha upinzani Mbali na kuwa korokoroni ile Hali taabani Baada ya kipigo kikali cha maafisa wa police. Uchaguzi huu ulighubikwa na fujo na kila Namna ya hujuma Ila Tume imesimamia matakwa...
Naomba kujua budget ya kuendesha a) Uchaguzi wa mbunge ktk Jimbo moja
b) Udiwani ktk Kata moja
Kwa kuzingatia yafuatayo
1) budget kichama
2) budget ya Tume ya uchaguzi NEC
3) mfumo wa upatikanaji fungu husika
4) Kwa kuzingatia matumuzi kwa ajili ya uchaguzi na maisha ya mtanzania ni...
Kwa hesabu za haraka haraka NEC imekua busy mwaka hadi mwaka kwa kuandaa chaguzi ndogo ndogo kila kukicha za udiwani au wabunge wanaojiuzulu nawasikilizia zao kwa sababu wajuao wao.
Ni wakati NEC kulitizama hili na kuja na jibu mbadala la kuokoa kiasi kikubwa kinachotumika kuitisha uchaguzi...
Ukichunguza watendaji Ndio tatizo.... Hii mifuko wapo wababaishaji ambao wapo kiulaji. Hili ni tatizo serious Sana. Nakuunga mkono serikali ilitizame maana wanajisifu majukwaani mda mfupi au masaa au siku chache Mara Baada ya kustaafu tunakulipa Ila??? Cjui Kama wana maelekezo au laaa!
Alimtuma mwakilishi ambaye ni waziri wa Africa mashariki na ushirikiano wa kimataifa. Wamekubaliana Obama ataitangaza Tz kiutalii zaidi ambapo Uncle JPM alikuwa akiwashughulikia wavivu kwa kuwamwaga na kuchagua wengine. Jiwe anatisha. Hapa kazi tuu.
Leo nimekubali Tanzania ina bahati ya kumpata Raisi anayependa kuiona ikibadilika na kuwa bustani yenye amani na furaha.
Nimemfuatilia kipindi chote anapofanya teuzi mbalimbali na kugundua yeye MH. JPM anamtazamo chanya Ila watendaji Ndio wanaomwangusha. Hongera Sana Uncle HON...
Ni kipindi cha Prof: Kikwete anamaliza muda wake wa mihula miwili kama katiba inavyoelekeza. Katika kipindi chake cha uraisi tumeshuhudia safari nyingi za viongozi akiwemo prof mwenyewe kwenda Ng'ambo kiasi cha kuweka record bila kujali gharama . Hii japo ni kutulaghai naombeni tuungane...
Kwa Mtanzania mwenye UFAHAMU ; HEKIMA NA UADILIFU ni lazima ujue mchezo mchafu wa kuwaficha wale wanaoeleza ukweli wa mambo ktk nchi kama wanasiasa (UPINZANI) na Wanaharakati. Kwa records za hatua za police kuvamia mikutano na maandamano ya haki ni wazi kuna mpango mahususi uliopo toka CCM aka...
huu ni ukweli fika,"Kifo cha CCM hakiwezi kuepushwa na Kagasheki na Prof Muhongo. CCM kama chama wamechelewa sana kuchukua hatua. RADAR, EPA, BUZWAGI, MEREMETA, RICHMOND, MAJENGO PACHA BOT, MABILIONI YA USWISI....pia na mikataba mibovu ki:rockon:la secta.
KIUKWELI,KAMA INAVYOONEKANA NI KWAMBA HALI HALISI YA HILI TUKIO NI KWAMBA MHESHIMIWA WAZIRI ANAINGILIA ASICHOKIJUA,KIKUBWA NI HALI YA TUKIO NZIMA,NAULIZA RPC NA WENGINE WAKUBWA WAHUSIKA BADO WAKO BARABARANI.MSIMTOE MHANGA HUYO DOGO PEKEE.DARUBINI YA KWELI IBAINI HILO.:eek2:
Kiukweli inuma tena inakatisha tamaa ya kuendelea kuiona madarakani serikali ambayo imejaa ubatilivu,utepetevu na unyepenyevu ktk utendaji wake wa kazi.jamani vyombo vya usalama iweni makini katika utendaji wenu hasa kipindi hichi cha vugvugucha la mabadiliko.:a s 465::a s 465:hii ni alama ya...
watanzania kwa sasa tunaamini mabadiliko ya kweli yanakuja bila kuzingatia uchama wala hali ya vitisho kutoka popote.:shetani:its danger!!M4C MBELE KWA MBELE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.