acha ujinga ww unayeshangilia pesa kuchukuliwa na matapeli wa kimataifa,sema tumeshatapeliwa kwa sababu ni lazima kulikuwa na sababu ya iptl na tanesco kufungua ac ili kuweka hizo fedha,je sababu hizo zilikuwa invalid kwa muda hizo pesa zilikombwa?je km mnashabikia kuwa pesa hazikuwa za tanesco...
Lakini watoto wa wanaojiita viongozi wa siku hizi wannagawana kila kilcho cha watanzania kwa kuwa wanalindwa na wazazi wao,wengine ni wauza unga na wengine ni wauza twiga na faru
Hapo nahitimisha yaliyokuwa yakisemwa kuwa ccm ni chama cha majambawazi,masele mara baada ya kumhonga mkurugenzi wa manispaa ya shinyanga mjini amtangaze kw ndiyo mshindi baadae mgombea wa chadema aliuwawa ktk mazingira tatanishi na mkurugenzi haijulikani alipo mpaka leo
Hivi ww mzee wa ccm kwanini ikitokea mtu au taasisi ambayo inatetea maslahi ya ni kinyume mnaibuka na majina lukuki?uhalali huja pale watu au kikundi hujadili suala lilokusudiwa bila kuharibu mantiki sasa rutta ccm(tanzania kwanza)wanajadili muungano wanaoutaka sasa haramu hapo nani?
Kama ukawa ni kikundi haramu na tanzania kwanza ni nini ruttashobo?unapata shida na ukawa kwa sababu kazi wanayoifanya ni kubwa na wananchi tunaielewa na tunaitambua,Leticia ni mwakilishi wa wasaliti au ni msaliti mwenyewe kwani hata JK nyerere alipokuwa anaendesha harakati za uhuru kuna...
kama iramba wanaweza kuondoa mizigo waliopewa na chama mzigo basi ambapo huko ndo ilikuwa ngome ya ccm basi tunakaribia kufika upande wa pili wa tanuru naanza kuuona mwanga
Kwa kitendo cha dr Asha Rose migiro kuwa waziri katika wizara ya katiba na sheria ni wazi kwamba katiba mpya ndiyo imekwenda na maji na pia vipengele vilivyokuwa vinapingwa na ccm sasa ndiyo vitaondolewa rasmi kwa mfano kipengele kinachozungumzia serikali tatu,huyu mama ni miongoni mwa makada wa...
Waliofanya huo ushenzi watakuwa ni polisi watiifu wa ccm ambao wamekuwa wakiisaidia katika maeneo mbalimbali kama kule iringa,morogoro,na hata wanaowabambikia kesi wapinzani kule kigoma.logic ni kuwa wamempiga ili ionekane kundi moja ndani ya chadema limempiga mfuasi wa kundi jingine na...
Weweutakuwa ni --------,huyo Zitto unayemtaja hapa kuwa ni maarufu kuliko MH Mbowe anz kujiuliza alifanya wpi kampeni na operation za chama na chama kupata ushindi,Nilikuwa nae bagamoyo kwenye kampeni za udiwani mgombea wa cdm alishindwa vibaya kwenye chaguzi za igunga gari yake ilipata pancha...
Ndugu wanabodi!
Nikiwa kama mtanzania na mwananchi mpenda maendeleo kamwe sitopenda kuona hiki chama kinachoitwa ccm kinatumia udhaifu wa uelewa mdogo na upembuzi wa kauli mbalimbali za viongozi hawa wa ccm kwa watanzania waliowengi hasa walioko vijijini,
ndugu wanabodi!
Miongoni mwa kauli...
kwa hiyo ndiyo tuseme wassira aliposema chadema itakufa kabla ya 2015 ndiyo mkakati umeanza au?CCm wanachotakiwa kufahamu ni kuwa watu wenye akili wote hawakai ccm kwa hiyo hata TISS(ccm)wajitahidi vipi hawatafanikiwa kwa sababu wengi ni mburula.uzuri mmoja kamtandao ka zito kote kame vurugwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.