Siku moja baba na mama na watoto wao wawili (kike na kiume) wakiwa kwenye chakula cha jioni, baba na mama wanabishana kuhusu nani kati yao ni muoga. Ndipo baba akaamua kuwashirikisha watoto ktk ubishi huo:
BABA: Eti mwanangu Paul, mimi na mamako nani muoga?
Paul: Mi naona mama ndo muoga zaidi...
Baba mmoja alikuwa na mtoto wake wa kiume akawa anataka kumlea ktk maadili mema ili asifuate ya dunia.
Siku moja mtoto alikuwa akicheza na wenzake, mara wakakorofishana mwenzake akamtukana ''KUMAMAYE''
Yule mtoto akalia na kwenda kumwambia baba yake, ndipo babake alipombembeleza na kumsii...
Baba mmoja alikuwa na mtoto wake wa kiume akawa anataka kumlea ktk maadili mema ili asifuate ya dunia.
Siku moja mtoto alikuwa akicheza na wenzake, mara wakakorofishana mwenzake akamtukana ''KUMAMAYE''
Yule mtoto akalia na kwenda kumwambia baba yake, ndipo babake alipombembeleza na kumsii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.