hiyo ni kweli kaka hata mimi pia nimeshangaa sana maana si kawaida kwa mbunge kufiwa halafu ikawa kama ilivyotangazwa yaani ni kama mazungumzo baada ya habari kweli hata hawa IPP media sasa wamechoka.
Ukweli ni kwamba mashangingi ni mzigo lakini angali hilo shangingi linatumika wapi hebu fikiri mbunge wa Makete kwa mfano tu rahisi haukuna njia atakayopitakuwafikia wananchi wake bila gari kama shangingi lakini kwa dar ni mzigo kwa hiyo kimsingi suala si gari suala hapa nimatumizi ya hilo gari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.