Search results

  1. M

    Rostam afiwa, tangazo la msiba ni utata mtupu!

    hiyo ni kweli kaka hata mimi pia nimeshangaa sana maana si kawaida kwa mbunge kufiwa halafu ikawa kama ilivyotangazwa yaani ni kama mazungumzo baada ya habari kweli hata hawa IPP media sasa wamechoka.
  2. M

    The world cheapest car....

    Ukweli ni kwamba mashangingi ni mzigo lakini angali hilo shangingi linatumika wapi hebu fikiri mbunge wa Makete kwa mfano tu rahisi haukuna njia atakayopitakuwafikia wananchi wake bila gari kama shangingi lakini kwa dar ni mzigo kwa hiyo kimsingi suala si gari suala hapa nimatumizi ya hilo gari.
  3. M

    James Sinclair: A Friend or Foe?

    Ningependa kufahamu historia ya mizani ya magari tanzania ilianza lini na kwa madhumuni gani?Halafu nani haswa anapaswa mwangalizi wa mizani hizi
Back
Top Bottom