Search results

  1. DIVISHENI FOO

    Kichapo cha Simba na Tiger: The Battle of the Big Cats

    Simba na Tiger ni jamii ya mapaka makubwa, ambapo simba huishi katika Savana za Afrika wakati Tiger (CHUI-MILIA) huishi Asia. Kwa asili yao, Simba na Tiger hawaishi pamoja, na inapotokea wamewekwa pamoja basi lazima zichapwe haswa. Simba mkubwa ana wastani wa urefu wa sentimeta 208 na uzito wa...
  2. DIVISHENI FOO

    Wanaomkosoa Magufuli wako mtandaoni tu

    Sijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums. Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya. Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni...
  3. DIVISHENI FOO

    Ushoga hauzuiliwi na dini: Hoja jadilifu na mbinu mbadala

    Hii ni hoja spesheli ya kutoa mwongozo wa kisheria na kijamii kuhusu upinzani dhidi ya mapenzi ya jinsia moja. Ni dhahiri na imezoeleka, kwamba kila ngumbaru yeyote hata asiye na kisomo, akitaka kupinga ushoga anakimbilia kunukuu vifungu vya baibo. Baibo pamoja na zile ngano na sodoma na...
  4. DIVISHENI FOO

    Nape Nnauye apewe Urais 2030, ameonesha nia na anaweza

    Huyu Nape anaonekana kama kajiniazi fulani. Ana charisma, hata akiongea ni kama anaongea kwa kunata na biti na madaha. Na kale kamiwani kake, na venye anamkonga samia, basi ni vyema awe Rais wetu wa Tanganyika hapo 2030. Halafu pia huyu Nape hapendagi ushoga, amefungia tovuti zaidi ya laki...
  5. DIVISHENI FOO

    Kuwapima watu haja kubwa ni kinyume na sheria na kinyume na Katiba

    Hili zoezi haramu la samia la kuwasondeka watu vidole kwenye njia za haja kubwa ili "kuwapima ushoga" ni zoezi la kihayawani. Kwanza, linakiuka ibara ya 16 (1) ya Katiba ya nchi. Linavamia usiri wa mtu na faragha ya maumbile yake na utu wake. Pili, linakiuka sheria ya uendeshaji wa makosa ya...
  6. DIVISHENI FOO

    Ukipewa divisheni foo unawajibuje?

    Matokeo ya mtihani yakitoka, kila mtu hupenda kuulizia mwanao kafauluje. Hakuna jambo gumu kama mwanao kupata ziro na foo, inakunyima furaha ya kutamba. Hasa kwa sisi tuliozoea kutoa bastola bar na kujifanya usalama wa taifa, huwezi tena kujitapa mbele ya wenzako. Hivi unawezaje kujibaraguza...
  7. DIVISHENI FOO

    WanajamiiForums wote tuna Landcruisers

    Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu. Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china. Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli. Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu...
  8. DIVISHENI FOO

    Bakhresa anakunywa juisi ya embe?

    Hivi huyu Bakhresa, yeye na watoto wake wanakunywaga hizo juisi wanazozitengeza kwa kutumia sodium benzoate? Vile wanavyochanganya matunda na kuyapika na kutia machumvi chumvi, wanaweza kunywa hizo juisi? Au ndio wanatusukumizia sie peke yetu? Kuna mtu anakaa na Bakhresa karibu? Amewahi...
Back
Top Bottom