Search results

  1. tama

    Ubuyu na ukwaju

    Je kuna mapishi ya wali waweza tia juisi ya ukwaji au ubuyu ikanogo maana napenda sana hizo juisi natamani kupika hata kwenye chakula?
  2. tama

    Mchele wa brown

    Naomba anayejua recipe ya kupika huu mchele wa brown anipatie ujuzi.
  3. tama

    Nini maana ya hili neno

    Naomba maana ya hili neno KUSINYIKA?
  4. tama

    Naomba ushauri wenu

    Nina rafiki yangu ameniomba ushauri afanyeje juu ya hili.Ana mpenzi wake ambaye amemvisha pete ya uchumba ila anasema kuwa msichana amebadilika kupita kiasi na tabia nyingine za ajabu2 ambazo mwanzoni alikuwa hana,amefika mpaka anaanza kumwambia jamaa tukioana ndugu zako wakija kwetu waseme...
Back
Top Bottom