Best wangu ametengana na mumewe wa ndoa (ya miaka 7 na ushee) huu ni mwaka wa pili sasa, walibarikiwa mtoto mmoja ambaye ni above 7 lakini under 18. Kwa sasa mtoto yupo kwa baba yake na hakuna kinachoendelea kati ya wazazi hawa wawili. Baba mtoto kampiga marufuku mama mtoto kuingia nyumbani...
Nimefurahi kupata wasaa wakujitambulisha kwenu wana JF, kama lilivyo jina langu mimi ni kamsweetie mpaka tabia, nategema kujifunza mengi kutokana kwenu na vile vile kujuzana mambo muhimu katika jamii yetu!
Wapi mdumange wakukaribisha wageni jamani? Nani yuko kamati ya vinywaji na chakula? :bange:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.