Car4Sale Threads

Toyota Land Cruiser Prado ambayo kwa kiasi kikubwa ni imetumika kwa misele ya Dar es salaam tu ingawaje mara chache sana ilikuwa inapiga trip za mkoa. Gari ipo safi kabisa, ni wewe tu kuchukua...
4 Reactions
104 Replies
15K Views
Genchi
Car4Sale 
Nissan Serena inauzwa kwa Bei ya kutupa mwenyewe kabanwa shida. Injin Wala gear box havijawah guswa haina tatzo lolote unawasha na kuondoka. Bei mil.tano (5,000,000) 0683775566
0 Reactions
3 Replies
893 Views
Jichukulie Hii Gari kwa Bei ya January Gari ni 6 cylinder Year of made: 2006 Mahali iliko: Dar Mileage: 120,000km haizidi hapo Bei: 21 Mil Negotiable (inazungumzika) Inahitaji Marekebisho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Karibuni Ndugu zangu wana Jamii forum katika uzi huu upate nunua/Agiza Gari kutoka CARHUNT JAPAN Katika uzi huu nitaweka Bei ya Gari ambayo itajumuisha Bei ya Gari na Usafirishaji (C&F), Gharama...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
offer offer Unregistered (chassis number) Toyota Alphard Y.O.M 2007 Low Mileages 65200 kM Cc 2360 Full Ac Full file All automatic Doors And Put OG Sports rims & good tyres Clean in and out All...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Bei ya kulenga kabisa hii chombo haina tatizo lolote. ipo mawasiliano, Dar. njoo ukague gari 0713096076 CHANGAMOTO ZAKE Imepauka Rangi Bampa linahitaji marekebisho kidogo, like 40,000 Tshs...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Gari aina ya Rav 4 miss Tanzania inauzwa. Ipo Mbeya. Namba DCV. Imesimama sana. Mileage: 177000 Sababu za kuuza: Nimebadilisha gari Mmiliki: Mimi mwenyewe. Bei 16m. Mawasiliano : 0710613913 |...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Ina cc2400 Imetembea 108000km Bado iko katika hali nzuri. Inapatikana tegeta DSM. Bei 12.5 ml Call +255 769 118 686
0 Reactions
2 Replies
903 Views
kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Inabeba Lita 4,500 na bado ipo kwenye hali nzuri. Bei 25 Milioni (Maongezi yapo). Leo Juma Nne ukingoja January unaikosa hii. Boss wa moto! Tufanye biashara.... Tucheki 0678275619. #magariused...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari, Gari Excellent Condition inauzwa Nissan Murano - T879 DRW In a good condition, Full Ac Bei. - 10.5 M Contact - 0685020831 Gari ipo Tegeta - Kibo Complex, unaeeza nipigia muda wowote...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Update: IMEUZWAAAAAAAA The car is SOLD as fvck😅 Imeuzwaaaa
9 Reactions
37 Replies
3K Views
Cc 3000 Diesel Bei 16,000,000 Ipo Dsm Temeke Mawasiliano 0673728756 Weka Mafuta
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Dith
Car4Sale 
Nauza gari, ni min bus yenye usajili wa number C. Aina ya LDV convoy. Gari ipo mwanza kwimba. Linahitaji marekebisho kadhaa na halijatumika muda mrefu. Bei ni 4.7M (mazungumzo yapo). Kwa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
.
4 Reactions
75 Replies
11K Views
Corolla Limited Gari nzuri Safari Popote Bei 1.6m 0713096076 dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Peterkk
Car4Sale 
BMW x5 fully loaded expat leaving Description: 2014 model BMW X5 auto Mileage: 26k Engine: 2.0 diesel Unregistered Location: Masaki Fully loaded with keyless entry and start Electric tow bar...
6 Reactions
75 Replies
9K Views
karibuni sana, gari haina changamoto yoyote. Some Details Engine Volume: Cc 660 Automatic... Piston 4.. tairi kama mpya Location: Mbezi misugusugu, Dsm Availability: all time call: 0625750755
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ortega
Car4Sale 
NISSAN DUALIS #DRF YEAR 2008 CC 1990 FULL AC FULL PAID MILEAGE 78638km+ WELL MAINTAINED PRICE MIL 14.5 CALL ME 0712-787939
2 Reactions
1 Replies
856 Views
Specifications, HORSE : R400 USAJILI: DLG USAJILI WA TRELA : NAMBA: AWN LOCATION; IPO DAR ES SALAAM UJAZO ; INA UWEZO WA KUBEBA LITA 40,000 ZA MAFUTA INAFANYA KAZI VIZURI KABISA. UNAPAKIA...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom