Baada ya Serikali kusema ipo tayari kulipia matibabu ya Lissu; Peter Msigwa, Godbless Lema na Mbowe wakosoa kauli hiyo

Baada ya Serikali kusema ipo tayari kulipia matibabu ya Lissu; Peter Msigwa, Godbless Lema na Mbowe wakosoa kauli hiyo

Wakupuuzwa hawa hawana jema
hivi Serikali ingeamua huyo lissu asipone Angelifika Nairobi kweli!!
Watu wana hila na chuki zakipumbavu
Kila jema kwao shida!
 
Mbona Ndugai alipoenda kutibiwa nje ya Nchi hatukuambiwa kama maombi yalitoka kwa familia yake? Jibu hapo ni rais tu, walitaka afe wasimamie mazishi kwa ulinzi mkali, No kuaga mwili (labda ndugu tu), no waandishi kuripoti chochote, no chadema wala mawakili kufungua mdomo. Ila Mungu ni mkubwa, Kawaumbua mchana kweupe. wanatamani hiyo hospitali ingekuwa Tz ifungiwe kutoa huduma.
 
Hivi mbunge kutibiwa nje ya nchi hadi familia iombe. Suala maisha na uhai hadi familia iombe kweli. Waache kuchezea watu
Tumia Akili wewe
Familia Iliingizwa kwenye Siasa na kuona kama serikali inahusika kwa tukio hilo
wakaona bora wakomae wenyewe
leo uamue kumtibu kwanguvu na ikatokea Akafariki
unadhani familia itaacha kuamini Upuuzi wao kuwq Serikali inahusika!!
Hata kama ninyi nivibendera mjaribu kuangalia kidogo kuna muda upepo unatulia kibendera hakifuati Kitu!!
 
Hivi mbunge kutibiwa nje ya nchi hadi familia iombe. Suala maisha na uhai hadi familia iombe kweli. Waache kuchezea watu
Wekeni akiba ya maneno.
Hamkumbuki familia ilikataa kufuata utaratibu wa kawaida ya Kutibu wabunge.sasa mbowe ulitaka walazimishe au wanyanganye mgonjwa?
 
Mbona Ndugai alipoenda kutibiwa nje ya Nchi hatukuambiwa kama maombi yalitoka kwa familia yake? Jibu hapo ni rais tu, walitaka afe wasimamie mazishi kwa ulinzi mkali, No kuaga mwili (labda ndugu tu), no waandishi kuripoti chochote, no chadema wala mawakili kufungua mdomo. Ila Mungu ni mkubwa, Kawaumbua mchana kweupe. wanatamani hiyo hospitali ingekuwa Tz ifungiwe kutoa huduma.
Lazima uambiwe wewe nani?
 
Tulijua Ni T-shirts Na Maombi Tu Ndo Yanawauma Kumbe Hadi Michango Ya Matibabu Yake? Eti Matapeli, Na Waliokula Rambirambi Arusha Tuwaitaje?

Kisa Walitapeli Michango Ya Rambirambi Ndo Wanadhani CHADEMA Nao Watatapeli Michango Ya Matibabu Ya Lissu? Sio Kila Mtu Ni Matapeli Kama Wao.

Matapeli Wote Tuliomchangia na Kumwombea Tundu Lissu "Please RT" Ili Tujifahamu.

Tangu lini familia ya mbunge inatuma maombi serikalini kwenda kutibu mbunge anaeumwa?

DKQM24pWAAA3qYy.jpg




Nyerere angetaka maendeleo ya vitu asingewafukuza wakoloni,maana wakoloni walikuwa wanajenga reli na barabara,nyerere alitaka uhuru wa watu

mr mkiki.
 
Wa Tz nani katuloga kama serekari imekubali kusaidia matibabu Ls litakuwa jambo jema tulipokee tunachohitaji sisi ni kuona Ls analejea katika hari yake na si vinginevyo tusitengeneze kauli zitakazo wafanya serekari kughaili jambo hili kwa kauli zetu

Msaada ni jambo jema Iakini si kila msaada.
 
Back
Top Bottom