Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

Mmmh hawa watu jamani Mungu anawaona.
Kwani da Mange ye kasemaje kuhusu hili!?
 
Kwani huyu mbunge wa ccm anatoa hela yake mfukoni?
Yaani nyalandu kuwezesha huo msaada roho inakuuma!!

Ama kweli Kuna watu bado mpo kwenye Evolutionary stage(Homo....)
 
Ni kweli Chadema wameshindwa kumpeleka Lissu kutibiwa Ulaya?

Wabunge wa Chadema wamerundikana Nairobi na wake zao bila mafanikio. Ni kweli Hawana pesa au ni Hujuma Kwa Lissu? Kwanini Lissu wamemficha Nairobi?. Wakati Serikali imesema iko tayari kumpeleka Tundu Lissu kutibiwa Índia lakini Chadema wamekataa.

Sasahivi Mbunge wa CCM amejitolea kumpeleka Tundu Lissu kutibiwa Marekani. Bila mbunge wa CCM Chadema Hawana uwezo wowote kumpeleka Lissu Ulaya?

Lowassa, Mbowe, Tanganyika Law Society, Wabunge wa Chadema kweli wameshindwa kutibu mtu mmoja?
Mlizua janga hili ili muanze kusimanga watu!! Yaone haya mauaji hamna hata aibu. Huyo Lissu alikuwa wa kuuawa kwa sababu ipi hasa?! Hayo masimango waambie cc ya Lumumba ndio watafurahia
 
Kwani huyu mbunge wa ccm anatoa hela yake mfukoni?
Yaani nyalandu kuwezesha huo msaada roho inakuuma!!

Ama kweli Kuna watu bado mpo kwenye Evolutionary stage(Homo....)
Wao na kiongozi wao walipenda sana Lissu afe... ndo maana wanachonga sana juu ya haya matibabu
 
Ni kweli Chadema wameshindwa kumpeleka Lissu kutibiwa Ulaya?

Wabunge wa Chadema wamerundikana Nairobi na wake zao bila mafanikio. Ni kweli Hawana pesa au ni Hujuma Kwa Lissu? Kwanini Lissu wamemficha Nairobi?. Wakati Serikali imesema iko tayari kumpeleka Tundu Lissu kutibiwa Índia lakini Chadema wamekataa.

Sasahivi Mbunge wa CCM amejitolea kumpeleka Tundu Lissu kutibiwa Marekani. Bila mbunge wa CCM Chadema Hawana uwezo wowote kumpeleka Lissu Ulaya?

Lowassa, Mbowe, Tanganyika Law Society, Wabunge wa Chadema kweli wameshindwa kutibu mtu mmoja?
Wewe ndio unaonaje kwa maono yako sasa?unataka chadema wamtibu?wakati Smg ni za Ccm!kwani smg zilizo mimina Risasi ni za chadema?
Ngoja tu atibiwe na Ccm kwasababu ccm ndio wameusika.
 
CCM wamecheza trick Nzuri sana kama Professa Mruma Kwenye madini.
 
Mbona mmekasirika sana Lissu kutokwenda Muhimbili/India
 
Chadema bado wachanga Kwenye medani za kijasusi, washapigwa blow hawajielewi
 
Labda pia anaulizia michango inayotolewa inaenda wapi au!? Swali nimeona wengi wanajiuliza.. tabu wapokeaji hawatoi updates.. yaani viongozi waliosema wanamsimamia kwa matibabu.

Napita mie..
 
Ni kweli Chadema wameshindwa kumpeleka Lissu kutibiwa Ulaya?

Wabunge wa Chadema wamerundikana Nairobi na wake zao bila mafanikio. Ni kweli Hawana pesa au ni Hujuma Kwa Lissu? Kwanini Lissu wamemficha Nairobi?. Wakati Serikali imesema iko tayari kumpeleka Tundu Lissu kutibiwa Índia lakini Chadema wamekataa.

Sasahivi Mbunge wa CCM amejitolea kumpeleka Tundu Lissu kutibiwa Marekani. Bila mbunge wa CCM Chadema Hawana uwezo wowote kumpeleka Lissu Ulaya?

Lowassa, Mbowe, Tanganyika Law Society, Wabunge wa Chadema kweli wameshindwa kutibu mtu mmoja?

Ndiyo maana mko busy kutafuta report ya daktari??Hakuna cha Mbunge wa CCM wala nini tumechanga wenyewe na ataenda na kupelekwa na CDM,huyo Mpenda sifa wa CCM ambaye yuko busy mitandaoni hatupi shida.

Mpeni pongezi basi ya barua.Muulize ametoa kiasi gani basi,yuko busy kwenye mitandao kutafuta sifa
 
Ni kweli Chadema wameshindwa kumpeleka Lissu kutibiwa Ulaya?

Wabunge wa Chadema wamerundikana Nairobi na wake zao bila mafanikio. Ni kweli Hawana pesa au ni Hujuma Kwa Lissu? Kwanini Lissu wamemficha Nairobi?. Wakati Serikali imesema iko tayari kumpeleka Tundu Lissu kutibiwa Índia lakini Chadema wamekataa.

Sasahivi Mbunge wa CCM amejitolea kumpeleka Tundu Lissu kutibiwa Marekani. Bila mbunge wa CCM Chadema Hawana uwezo wowote kumpeleka Lissu Ulaya?

Lowassa, Mbowe, Tanganyika Law Society, Wabunge wa Chadema kweli wameshindwa kutibu mtu mmoja?
Unachosahau undugu ni zaidi ya itikadi, na ukristo ni urafiki wa ' kweli'.... Je, unamjua aliyempeleka Sita German?!!!!!!!! Utashangaa sana ukimjua!!
 
Mbunge wa CCM anatoa pesa zake mfukoni.

Umeziona hizo alizotoa??Mbunge wa CCM my foot,huyo yuko kwa ajili ya kuuza sura na kutafuta jimbo la Arusha asiyejua nani.hana lolote yuko busy kupost utumbo tu kwenye fB yake ndicho anachokijua.
 
Kenya ilikua Nje, marekani nayo ni NJE, sawa.
 
Madaktari wa bongo waliookoa maishayake walisema wangeweza kumtibu (kama walivyofanya kwa Maj Gen Mstaafu). Lakini watu wakaweka taaluma pembeni, siasa mbele na kulazimisha aondolewe...
Haya sasa na huku mnataka kulazimisha atolewe...swali...safarihii ni kwa sababu za kiusalama au?
Kumbuka matatizo ya lissu yameletwa na nyinyi halafu unataka ahudumiwe na haohao walio mswaga risasi? hii laana haitowaacha
 
Halafu jamaa anatumia hili swala la Lissu kama sehemu ya kutafuta attention!
Miaka mitano hii yote anaimalizia kwa wagonjwa. Akipona Lissu ataibukia kwa wagonjwa wengine.. [emoji16][emoji16]. Huyu jamaa bwana.!! Magu alijua kumuweza, kwa kumuweka bench!.
 
Back
Top Bottom