Therefore, kila taifa libakie kwenye aina ya uongozi wake kwa watu wake na mila na desturi zao. Sisi, watz tumezoea siasa zetu na wao wakenya nao wamezoea siasa zao za kikabila.There fore.....
Hakuna binadamu mkamilifu hata mmoja yule hapa duniani...hayupo.nashukuru hata kwa kutambua uchapakazi wa Dr Magufuli. Basi hilo ndilo linalombeba huko Kenya wanata viongozi wanaonyesha njia na utendaji unaonekana kwa wanainchi bila kuogopa sura wala jina la mtu.Inatupa ujumbe kwamba huwezi jua shida wanazopitia jirani mpaka uende kuhamia kwao...... mfano gadaffi kila mtu alimuadmire ila mbona walibya walimpindua??? Kwame nkurumah anakubalika kila taifa hapa afrika ila mbona wananchi wake walimpindua????
Nachojua wakenya wanataka mabadiliko ila kusema magufuli ni rais bora nop ni mapema sana ingawa kwa marais waliopo hapa east africa hta kma mie ni mpinzani naafiki amewazidi sana kwa mbali kwenye uchapakazi ukiachana na kagame
Vipi kuhusu mtumishi mwaminifu na asiye na shida na hivyo vyeti vyenu, lakini Rais wake kazuia hata promotion iliyokwishatolewa kwake, ikafutwa kwa kisingizio cha uhakiki? Au mamia elfu ya watumishi ambao nyongeza ya mshahara imekuwa hadithi?
Mpaka hapo hakuna nchi iliyoingilia Siasa ya nchi nyingine.Therefore, kila taifa libakie kwenye aina ya uongozi wake kwa watu wake na mila na desturi zao. Sisi, watz tumezoea siasa zetu na wao wakenya nao wamezoea siasa zao za kikabila.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mapungufu ndiyo mengi zaidiKiukweli tukiacha hiana MAGUFULI ni Rais bora kabisa Afrika kwa Sasa Japo kama mwanadamu ambae hajakamilika anamapungufu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna shida...tatizo lako ni nini kwa hapo! Serikali itatekeleza tu lakini si kama unavyotaka wewe!!Vipi kuhusu mtumishi mwaminifu na asiye na shida na hivyo vyeti vyenu, lakini Rais wake kazuia hata promotion iliyokwishatolewa kwake, ikafutwa kwa kisingizio cha uhakiki? Au mamia elfu ya watumishi ambao nyongeza ya mshahara imekuwa hadithi?
Ujafika tuu .mogadishu sasa hivi hiko poa sanaHamieni Mogadishu.
Ndio maana JF wameweka Sarver za maana sababu hili ni jukwaa la kupeana habari na uthibitisho. Hakuna rumors.Mambo ya Thomaso hayo!! JF si itajaa video Sasa kama kila habari tukiweka hizo clip!
Sikuzote mtu anaetanguliza matusi mbele hana akili.Wewe ni mjinga sana kama unadhani Wakenya ni wajinga na mazuzu kama WaTz.
Hivi unadhani ni kwanini Kenya wameweza kupata katiba mpya?
Nenda basi.Ujafika tuu .mogadishu sasa hivi hiko poa sana
Magu nichaguo la MunguKila mgombea huko Kenya anaposimama na kumwaga Sera zake na jinsi atakavyo wahudumia wakenya atakapochaguliwa baada ya uchaguzi ni lazima ajifananishe na Rais wa Tanzania Dr Magufuli Katika suala nzima la uwajibikaji bila kumuogopa yoyote.
Kila mikutano ya hadhara jina la Dr Magufuli limekuwa likitumika Katika kijinadi kwa wagombea.
Hii inatoa ishara gani kwa nchi za Africa Mashariki?
Kwa hiyo kila mgombea huko Kenya anajinadi kwa kuwaahidi wananchi kwamba akichaguliwa hataheshimu Katiba kwa kuilinda na kuitetea? Kwamba akichaguliwa atapiga marufuku mikutano ya kisiasa? Kwamba akichaguliwa atawakamata wapinzani bila kujali nafasi zao na kuwasweka ndani? Kwamba akichaguliwa wakuu wa mikoa na Wilaya watawakamata wabunge wa upinzani na kuwasweka ndani kwa saa 48? Kwamba Rais wa wanasheria wa Kenya hawatabaki salama na kuwa huru kutoa mawazo yao?Kila mgombea huko Kenya anaposimama na kumwaga Sera zake na jinsi atakavyo wahudumia wakenya atakapochaguliwa baada ya uchaguzi ni lazima ajifananishe na Rais wa Tanzania Dr Magufuli Katika suala nzima la uwajibikaji bila kumuogopa yoyote.
Kwamba akichaguliwa atakuwa dikteta uchwara? Umekula maharage ya wapi wewe [B]tramadol[/B]? Unajua Wakenya walivyopigania uhuru walio nao? Unajua walivyoweza kukataa kuwa na Rais mungumtu? Yaani ungependa Wakenya waige huu utawala wa kindugu na kikabila wa kwetu? Kweli unajua walikotokea Wakenya mpaka wakafikia hapo walipo? Labda kama wewe ni mtoto mdogo kiasi hukujua walipataje Katiba mpya iliyowawezesha kumuondoa dikteta wao uchwara madarakani!Kila mikutano ya hadhara jina la Dr Magufuli limekuwa likitumika Katika kijinadi kwa wagombea.
Huyo atakayejinadi kwa hayo niliyoyaorodhesha hatashinda uchaguzi nchini Kenya. Kisiasa Kenya si wenzetu, sisi tuendelee tu na dikteta wetu uchwara tukiwaiga akina Museveni, Kagame, Kabila na Nkurunzinza.Hii inatoa ishara gani kwa nchi za Africa Mashariki?
Sina hakika kama uwezo WA kuelewa nilichoandika hauna au unafanya makusudi.Hakuna shida...tatizo lako ni nini kwa hapo! Serikali itatekeleza tu lakini si kama unavyotaka wewe!!
Kwa hiyo kila mgombea huko Kenya anajinadi kwa kuwaahidi wananchi kwamba akichaguliwa hataheshimu Katiba kwa kuilinda na kuitetea? Kwamba akichaguliwa atapiga marufuku mikutano ya kisiasa? Kwamba akichaguliwa atawakamata wapinzani bila kujali nafasi zao na kuwasweka ndani? Kwamba akichaguliwa wakuu wa mikoa na Wilaya watawakamata wabunge wa upinzani na kuwasweka ndani kwa saa 48? Kwamba Rais wa wanasheria wa Kenya hawatabaki salama na kuwa huru kutoa mawazo yao?
Wewe [B]tramadol[/B], unawajuwa kweli Wakenya?
Unajua kweli Katiba yao inasemaje?
Kwamba akichaguliwa atakuwa dikteta uchwara? Umekula maharage ya wapi wewe [B]tramadol[/B]? Unajua Wakenya walivyopigania uhuru walio nao? Unajua walivyoweza kukataa kuwa na Rais mungumtu? Yaani ungependa Wakenya waige huu utawala wa kindugu na kikabila wa kwetu? Kweli unajua walikotokea Wakenya mpaka wakafikia hapo walipo? Labda kama wewe ni mtoto mdogo kiasi hukujua walipataje Katiba mpya iliyowawezesha kumuondoa dikteta wao uchwara madarakani!
Huyo atakayejinadi kwa hayo niliyoyaorodhesha hatashinda uchaguzi nchini Kenya. Kisiasa Kenya si wenzetu, sisi tuendelee tu na dikteta wetu uchwara tukiwaiga akina Museveni, Kagame, Kabila na Nkurunzinza.