Hii ni kampeni ya leo Mathare mjini Nairobi
Nimesikiliza sana sikusikia jina Magufufi likitajwa popote.
Acheni uongo.
Nilikua natafuta post kama hii, sio mtu anatuambia kila mkutano..kila mgombea... wakati hata tv hana nyumbaniNafuatilia kwa karibu kampeni za Kenya kwa sababu TV za Kenya zinatowa coverage ya haki sawa kwa Jubilee na NASA.
Hizi ni taarifa za uongo na umbea mtupu na kujipendekeza tu, nonsense.
Nilimsikia Odinga mara moja tu akitamka kwamba atachukuwa Tanzania kwa Magufuli dawa ya ufisadi. Acha kudanganya watu wasiofuatilia kinachoendelea Kenya.
Jambo la maana nililojifunza kwa wenzetu ni mdahalo wa wagombea wenza yaani makamu wa Rais, huu ni utaratibu mzuri pia tuige kwa wenzetu, hawa kina Samia Suluhu nao ni lazima wafanyiwe mdahalo wao.
Swali ninalojiuliza hivi Watanzania bila unafki na uongo maisha huwa hayanogi?
Na iwe kama ulivyonena.Kiutendaji /uchapa kazi tutakesha hadi asubuhi, hakuna wa kulingana na Magufuli, sio Kenya sio Tanzania sio Uganda wala wapi ,sema ana mapungufu yake ya mambo ya demokrasia etc, lakini kwa kazi jamaa linachapa hapa tuseme tu ukweli. Magufuli huyu kwa speed hii yaani hadi linamaliza muda wake Tanzania yote itakuwa na maji, Barabara ,reli ,shirika la ndege litasimama na umeme kote, pia viwanda vitajengwa na shirika la ndege litaimarika, abane tu mianya ya wizi na akusanye pesa za kutosha hapo ndo JPM tutakampomkubali.
Kwani akitamkwa kwa kila mkutano au kila mgombea akimtaja...Kuna Kitu unapungukiwa?Nilikua natafuta post kama hii, sio mtu anatuambia kila mkutano..kila mgombea... wakati hata tv hana nyumbani
Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
A photo can speak thousand words.
Bungoma Gubernatorial candidate on ODM ticket Hon Alfred Khang’ati aka Magufuli, addresses his supporters during the launch of his campaign manifesto yesterday at Bungoma Posta Grounds.
Hii ni kampeni ya leo Mathare mjini Nairobi
Nimesikiliza sana sikusikia jina Magufufi likitajwa popote.
Acheni uongo.
Ukiwa dikteta kila kitu ni mapungufu acheni kujitoa fahamuKiukweli tukiacha hiana MAGUFULI ni Rais bora kabisa Afrika kwa Sasa Japo kama mwanadamu ambae hajakamilika anamapungufu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umekaa kweli Kenya hebu tueleze sabasaba huko Kenya ni siku ya tukio gani?Nimefanya kazi Kenya miji ya Nakuru,Kakamega,Nairobi na Mombasa.
Kenya wao walichokichukua kwa Dr Magufuli ni namna anavyofanya kazi hasa ktk kutatua matatizo ya wanainchi na ndiyo sifa inayombeba huko nje ya nchi.
Hayo sisi tunayoyaita ukandamizaji wao hawayajui kwasababu hayawagusi ila wewe na Mimi tuliopo hapa ndiyo tunaweza kuyazungumzia.
Kutokana na utumishi uliotuka wa Dr Magufuli ktk kushughulika na hayo matatizo ndiyo maana kila mmoja anaona ni kiongozi mwenye ujasiri na anayeweza kusema jambo na likawa na imeonekana wazi.
Na zaidi Dr Magufuli amekuwa field yeye mwenyewe na kutoa maagizo na kuchukua hatua Kali kwa watumishi husika.
Mkuu unamaanisha Uhuru sio team
Lowassa? Kama ni kweli siasa ya Africa ni ngumu. Pamoja na CHADEMA kumuunga mkono Uhuru, Uhuru anajifananisha na hasimu wao. ....
Unaumwa mav.i wewe.mfy.y.uuuH. E. President JPM is the superb ever President.. ndio maana yake
Kenya kila mgombea anasema atafanya kama JPM.. Alafu najisikia fahari kweli kwangu na nchi yangu kuwa na Rais kama JPM..
Nasema toka rohoni na moyoni. JPM amekuwa lulu sbb ni moja tu, Hapa kazi tu, hakuna ujinga ujinga.. Kenya yooote mara Raila mara Uhuru.. wanajinadi mkinichagua i will follow JPM leadership style... Haaaaaaaaa
We love you JPM..
Okujumbe unaoupata ni kuwa tz yaweza kuingia matatizoni watu watajua ili rais wa kenya ashinde, lazima nguvu au mchango flani utatoka tz, na hatimae kesi kama ya marekani na urusi
usiwasemee watu,kama huna wewe amani shauri yako wengine tuna amaniWhatwouldmagufulido is dead and buried. Muda huu anatuhumiwa kwa udikteta na kutaka kuvuruga uchaguzi wa Kenya. Watanzania huku hatuna amani kabisa.