Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Adani itafanya kazi na kusimamia Gati ya 2 ya Kontena katika Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania, kupitia kampuni tanzu ya Adani International Ports Holdings Pte Ltd. Mkataba huo wa miaka 30...
7 Reactions
94 Replies
3K Views
Muda mchache ujao, saa 4:00 Dortumd watamenyana na Real Madrid katika dimba la Wembley pale London. Ni fainal ya Uefa Champions League, karata yako unampa nani? Twende kazi…
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund, commonly known as Borussia Dortmund [boˈʁʊsi̯aː ˈdɔɐ̯tmʊnt],[2] BVB, Full name Ballspielverein Borussia 09 e. V. Dortmund Nickname(s) Die...
3 Reactions
257 Replies
5K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu ameanza ziara jimboni Iramba na kushangaa kukosekana Huduma za Maji Lissu anasema Mbunge wa Iramba ni Waziri wa Fedha lakini Jimbo lake halina Maji...
6 Reactions
26 Replies
658 Views
Mwanadada mrembo, mwanamuziki, muigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga. Mwanadada huyo na kigogo wapo katika penzi la...
33 Reactions
246 Replies
3K Views
Bomu ya DP World litakuja kulipuka huko mbele ya safari halafu tutaishia kujilaumu na kuchekwa na wajukuu zetu Imagine hata samia mwenyewe anajua kuwa kaingia mkataba ambao hauna maslahi kwa nchi...
0 Reactions
4 Replies
56 Views
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana. Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye...
19 Reactions
303 Replies
5K Views
Hili jiji la arusha ambalo linasifika kwa utalii na ambalo lina historia nzuri ya kutoa wasanii, waigizaji na watangazaji maarufu, sifa zake kwa nje ni nyingi na nzuri sana. Ila kwa uhalisia...
16 Reactions
109 Replies
2K Views
Habari! Kila mtu anaweza kufanya backup ya habari ya saa 20:00 tarehe 31, Mei 2024. Ni habari nambari 2 kama sijakosea. Nilisikia Makamu wa Rais anawaomba wafanyabishara wapunguze bei ya gesi...
12 Reactions
31 Replies
1K Views
Hi friends, Naomba mwenye elimu kuhusu ufugaji wa kuku kwa kuanza na kufuga vifaranga vidogo vidogo kabsa, naomb kujua; 1. Faida zake 2. Namna ya kuwa mama kuku au namna ya kuwalea 3. Athari zake...
2 Reactions
2 Replies
42 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,311
Posts
49,771,637
Back
Top Bottom