Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba. Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo...
37 Reactions
84 Replies
2K Views
Russia imetangaza mwaka huu inaanza safari za moja kwa moja toka Moscow hadi Tanzania, Kuwait, Saudi Arabia, na Indonesia ✈️ This year Russian airlines will launch direct flights to Tanzania...
8 Reactions
19 Replies
559 Views
Habari za jioni Watanzania Poleni na mihangaiko ya maisha Basi baada ya kupata vijihela kwenye Forex. Nikawa najiuliza Kwann US Dollar inazidi kuwa na nguvu au thamani San dhidi ya shillings...
1 Reactions
5 Replies
158 Views
WE DO BUILDING DESIGN 0624004650 4BEDROOMS (GROUND 3BEDROOM JUU MASTER AND FAMILY ROOM)
1 Reactions
6 Replies
105 Views
Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 itasomwa kesho tarehe 13 Juni, 2024 Bungeni Jijini Dodoma.
0 Reactions
7 Replies
50 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
524K Replies
30M Views
Kila Mwanajeshi ninayekutana nae wa Uganda ( hasa Maafisa ) na Wengi wao walioko katika Kikosi cha Ulinzi cha Rais Museveni na Wakubwa Wao walikoko Makao Makuu yao ya Mbuya na wale walioko katika...
5 Reactions
16 Replies
147 Views
Lissu mi kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi. Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela...
5 Reactions
157 Replies
4K Views
Samahani jamani mimi ninalipwa mshahara wa 300k kwa mwezi nafanya kazi katika kampuni moja hivi . Lakini pesa hii haikai kabisa, yaan hapa nilipo sijui natakiwa kutumia shngp kama pesa ya...
2 Reactions
28 Replies
473 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,837
Posts
49,867,218
Back
Top Bottom