Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Maeneo ya Kazegunga, Msimba, Kasaka hawana maji zaidi ya wiki. Watu hutumia maji ya visima ambayo si salama kwa afya ya binadamu. Ziwa liko km 10 tu lakini maji hayatoki. Wahusika wachukue hatua...
0 Reactions
2 Replies
8 Views
Wanabodi, Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Unampenda, unamuamini, unamkubali, unamjali na kumthamini n.k Kiufupi mnapendana sana na mko pamoja kitambo sasa.... Ila kuna jambo moja tu linakukera, linakufedhahesha sana, linakusononesha...
5 Reactions
48 Replies
898 Views
Waziri mkuu wa Armenia, Nikol Pashnyan ametangaza kuiondoa nchi yake kwenye Muungano wa Kiulinzi unaoongozwa na Urusi wa CSTO. Hayo yamejiri baada ya nchi ya Azerbaijan kulichukua kijeshi jimbo la...
2 Reactions
2 Replies
97 Views
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo...
6 Reactions
94 Replies
760 Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
9 Reactions
617 Replies
43K Views
Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 itasomwa kesho tarehe 13 Juni, 2024 Bungeni Jijini Dodoma.
1 Reactions
14 Replies
50 Views
Tafadhali aliye Jirani nae amwambie kuwa aachie Ngazi Simba SC kwani GENTAMYCINE huwa Sibahatishi kwa Taarifa.
1 Reactions
10 Replies
62 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,840
Posts
49,867,328
Back
Top Bottom