Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wasalaam. Upuka maneno matupu yasiyo na uthibitisho. Tufuatane kwa pamoja na kwa umakini upate kujifunza. Nitaweka, Aya zote ili uweze kuthibitisha mwenyewe na kufanya rejea juu ya yote...
0 Reactions
9 Replies
43 Views
Rais wa Senegal, Bassirou Faye amesema faida itakayotokana na mauzo ya mafuta na gesi "itasimamiwa vyema" wakati taifa hilo la Afrika Magharibi likianza kuzalisha mafuta kwa mara ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000 Source: Swahili Times Mlale Unono 😃😃
7 Reactions
53 Replies
602 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna video nimeiona kwenye ukurasa wa Twitter wa Maulidi Kitenge ikimuonesha Rais wa Nigeria Mheshimiwa Tinubu akianguka chini wakati akitaka kupanda gari. ambapo ni kama...
2 Reactions
18 Replies
183 Views
SERIKALI SIKIVU YA Rais Samia Suluhu Hassan "Tunaomba ianze kuitambua Elimu ya Shahada ya Pili kwenye Utumishi wa umma kwa kuiwekea Salary scale" Africa pote Masters degree inatambulika kasoro...
12 Reactions
145 Replies
6K Views
https://www.youtube.com/watch?v=9of5FD2D9xw Nimebubujikwa na machozi.
6 Reactions
22 Replies
834 Views
Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku...
59 Reactions
332 Replies
22K Views
Simba kwa sasa tutaona kila rangi.Utawala wa yanga umeimarishwa hadi kwenye safu ya uongozi wa Simba. Malengo yao ya kimpira yanatimia huku malengo ya kisiasa ya wanaotumiwa yanatimia lakini kuna...
1 Reactions
11 Replies
386 Views
Mbona anakuwa kama Mangungo wa Msovero?
7 Reactions
63 Replies
1K Views
Rais Bola Tinubu wa Nigeria alijikwaa na kuanguka leo 12/6/2024 alipokuwa akipanda gari la gwaride katika Uwanja wa Eagles. Tinubu alianguka na kujipigiza kichwa wakati wa maadhimisho ya Siku ya...
1 Reactions
9 Replies
102 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,738
Posts
49,864,840
Back
Top Bottom