Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na...
3 Reactions
59 Replies
873 Views
Hali zenu, SakoKwaBako! Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo. Tatizo langu ni la saikolojia...
8 Reactions
47 Replies
595 Views
Karibuni kwenye mada. Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga. Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji...
33 Reactions
19K Replies
758K Views
Ukuzifuata hizi Sheria hutokaa ufeli in life 1: usifanye kosa la kuoa au kudate mwanamke asie na chanzo maalumu Cha kipato, Yani mwanamke Hana kazi wala ka kibarua Cha umpa miambili mia tatu za...
2 Reactions
10 Replies
75 Views
TAIFA STAR'S IMEBEBWA NA YANGA Ubora huu wa timu yetu ya taifa umeletwa na Yanga, kwa sasa taifa Stars wachezaji wanacheza kwa kujiamini hususani mabeki, kujiamini kwa wachezaji wetu wa Yanga...
2 Reactions
5 Replies
6 Views
Huyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui...
3 Reactions
12 Replies
181 Views
Mimi Mjanja M1 nimeishi Marekani, Uingereza na China, kote huko sijaona mambo ya ajabu kama haya!
3 Reactions
9 Replies
140 Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Nilikuwa natembea kuelekea kwenye Kituo cha basi upande wa pili. Nilipokuwa navuka zebra kuelekea kwenye hicho kituo kulikua na mzee mmoja kakaa anasubiri basi. Cha...
18 Reactions
100 Replies
1K Views
YouTube blogger amekuwa anawauliza raia wa Nigeria swali,kwamba kama inatokea fursa ya kupewa Uraia wa kudumu wa Tanzania au Kenya,watapenda kuishi Nchi gani? Jibu la wengi ni kwamba Watachagua...
2 Reactions
188 Replies
2K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
524K Replies
30M Views

FORUM STATS

Threads
1,862,651
Posts
49,862,849
Back
Top Bottom