Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hakika vijana ndo taifa la kesho na nguvu kazi kwa taifa na jamii inayomzunguka, tusipowekeza kwa vijana tunaweza kuja kuwa na jamii na taifa la hovyo hapo mbeleni. Ni upi ushauri wako ungeliwapa...
1 Reactions
39 Replies
373 Views
Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa jpm wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no...
1 Reactions
17 Replies
192 Views
wakuu kwema kwani sheria inasemaje mtu anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja, Mimi najua ni kosa la jinai Mbona mama anasema “fanyianeni wakubwa kwa wakubwa” Lucas Embu muite kafulila na...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Habari wadau Hivi mtoto akipenda kuchezea na kukalia ungo ni ishara gani? Serious answer please
1 Reactions
12 Replies
59 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
524K Replies
30M Views
Leo nimeunganisha matukio ya vyama vikongwe vya siasa Afrika ambavyo vimeonesha weledi wake na kufanya nchi zao ziwe za kupigiwa mfano Afrika. Chama cha kwanza ni chama cha United National...
9 Reactions
19 Replies
153 Views
Naam Karibu hapa Kwa mahitaji wa CHETI cha kuzaliwa Haina haja ya kwenda Tena Rita kufatilia cheti cha kuzaliwa, shughuli yote tunaifanya Kwa mtandao (eRitaService) Unachotakiwa kufanya ni kuwa...
3 Reactions
3 Replies
50 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimefuatulia mijadala mbalimbali ya kisiasa inapokuwa ikifanyika katika maeneo mbalimbali,iwe ni mitaani au kwenye mitandao ya kijamii. Nimekuja kugundua kuwa CHADEMA na...
2 Reactions
64 Replies
402 Views
Kwa muda mrefu sana, CHADEMA wamekuwa wakilaumu kukwama kwa maridhiano kwa sababu ya CCM kutokukubaliana na madai yao mengi. Jambo hili liliwashangaza Watanzania wengi wanaofuatilia siasa, kwani...
1 Reactions
20 Replies
508 Views
Karibia asilimia 85 ya wanawake huwa hawawezi kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa. Kumfikisha mwanamke kileleni ni art ambayo ni wanaume wachache sana wanayo. Wengi wa wanawake hata kama...
12 Reactions
153 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,532
Posts
49,859,815
Back
Top Bottom