Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwalimu Julius Nyerere historia yake ni kubwa sana. Walioandika maisha yake wameandika vitabu vitatu zaidi ya kurasa 1000. Bahati mbaya sana kitabu hiki hakikuweka mengi ambayo yalihusu historia...
2 Reactions
74 Replies
1K Views
Barua ya Wazi Kwa Vijana Wote WANAOJITAFUTA 🫡 Mitaa inasema: 👇 Ni Rahisi kwa Mtoto Kilaza Aliyezaliwa kwenye Familia ya Kitajiri Kutusua Kuliko Mtoto Smart Aliyezaliwa kwenye Familia Duni. 98%...
1 Reactions
9 Replies
179 Views
Kwema ndugu zangu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna mshikaji ana mke wake amezaa nae watoto wawil huyo wa pili ana miezi minne sasa, ila kwa sasa huyo mke yupo anaishi kwa wazazi wake...
2 Reactions
19 Replies
197 Views
Habari wakuu Mimi ni kijana wa kiume age 29 baada ya michongo kwenda vibaya nikashauriwa kuvungua duka la mangi kwa mtaji wangu milion 4 nikatafuta frame ya mtaani nikapata ila issue ni kwamba...
2 Reactions
9 Replies
141 Views
Huu uzi uwe wa kuwaumbua kwa ushahidi usio na mashaka wale wote wanaomtupia mawe Paul Makonda aliyejipambanua kama mtetezi wa wananchi wanyonge na pia kumpa maua yake, hivyo Kama umewahi...
3 Reactions
19 Replies
211 Views
Huyu hapa Raisi wa Ball Eng. Hers na Azizi ki (the top scorer) wakichezezea mpira na mpira ukiwatii kama wameutengeneza WAO. NB: Kwa ball Hili la hers Mwakani Kolozidad bila 3.5 bilion hatuwapi Hers
2 Reactions
7 Replies
115 Views
Ule msemo wa kizuri huonekana baada ya kutoweka ulifaa sana kwa kipindi hiki cha awamu ya 6. Kipindi cha uongozi wa Magufuli kwakweli nilimchukia sana Makonda. Ila baada ya Magufuli kuondoka...
16 Reactions
56 Replies
868 Views
https://www.pc.go.tz/ Shilole ameonekana akitangaza hospitali hiyo hapo kwenye picha na kusisitiza wagonjwa waende na kwamba ni hospitali Bora. Kimaadili si sawa, ni kama hospitai hiyo inataka...
1 Reactions
22 Replies
370 Views
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa. Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za...
18 Reactions
131 Replies
1K Views
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
21 Reactions
271 Replies
7K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,111
Posts
49,738,383
Back
Top Bottom